Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
sina imani na waziri mkuu pinda!!!!
hili siyo suala la waziri mkuu asiye na nguvu; hili ni suala la rais na ccm kama chama tawala; madaktari wasikubali kugereshwa kwa maneno ni lazima rais ndiye akutane nao na ccm ibadilishe sera zake kwenye hili suala.
Mkuu hii ni outdated thread...ilihusu ule mgomo uliopita!ni lini hiyo itakuwepo
Hivi Pinda ana rekodi gani ya kujivunia tangu awe PM?
The way nilivyokuwa namchukulia pinda hapo awali ni tofauti kabisa na ninvyomchukulia kwa sasa. Wakati anateuliwa kuwa PM kwa mara ya kwanza niliamini kuwa amepatikana PM makini, mwenye maamuzi magumu yenye maslahi kwa umma. Kumbe sio kabisa, yani hakuna la maana alofanya la maana analoweza kujivunia tangu apewe mamlaka hayo muhimu. Labda afe ndo aanze kusifiwa kama ilivyo kawa, hasifiwi mtu akiwa hai hadi afe!