Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Wachezaji wa timu ya taifa stars, wamemtaka waziri mkuu Mizengo Pinda kutimiza ahadi yake ya kuwapatia Sh 10milioni aliyoahidi endapo wangeitoa Chad na kupata tiketi ya makundi ya kombe la dunia. Pinda alitoa ahadi hiyo kama hamasa siku moja kabla ya timu hiyo kuondoka kwenda Chad.
Taifa stars walidai kua waliondoka kwa hamasa sana kwenda Chad, walishafahamu kuwa mkuu wao kawaahidi donge hilo na wao hawakutaka kumuangusha kwahiyo ahadi hiyo ni haki yao kwakua wanaamini ahadi ni deni. Kazi kwako Mizengo Pinda.
Taifa stars walidai kua waliondoka kwa hamasa sana kwenda Chad, walishafahamu kuwa mkuu wao kawaahidi donge hilo na wao hawakutaka kumuangusha kwahiyo ahadi hiyo ni haki yao kwakua wanaamini ahadi ni deni. Kazi kwako Mizengo Pinda.