Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,141
- 13,215
Jamani kama ilishatoka hapa mnisamehe lakini kwa kuwa ni ushuhuda ambao ni first hand information, wacha niwamegee!!!!
Kutokana na changamoto ya kupanda kwa gharama za maisha au ni ujanja ujanja tu......watu wamebuni njia nyingi sana za kujiongezea kipato cha dhuluma....
.............kumbe ni wizi wa muda mrefu sasa unaendelea kushika kasi maeneo mengi hasa ya walalahoi........
UkiendA BUCHANI KUWA MAKINI sana na wapimaji....kuna mbinu kuu tatu
nasikia ni wengi wanafanya hivi kwa hiyo kwa wale wasio na hii nyuzi jitahidini nanyi kufanya kauchunguzi au kuepuka bucha za kimagumashi............
Hakuna penye usalama!!!! yamkini hata kwenye mchele, sukari, n.k yanafanyika haya jameni....................!!!!!Besides hawa mawakala wa vipimo inabidi waamke !!!! ...Rushwa????
Kutokana na changamoto ya kupanda kwa gharama za maisha au ni ujanja ujanja tu......watu wamebuni njia nyingi sana za kujiongezea kipato cha dhuluma....
.............kumbe ni wizi wa muda mrefu sasa unaendelea kushika kasi maeneo mengi hasa ya walalahoi........
UkiendA BUCHANI KUWA MAKINI sana na wapimaji....kuna mbinu kuu tatu
- Wataweka sumaku chini ya mzani ambayo nasikia inapunguza kati ya 1/4-1/2 kilo (250-500gm)
- au kuna misumari mitatu nayo hivyo hivyo (ibid)
- hii aliyenisimula hajagundua inafanyikaje lakini angalia sana mikono yake ukiona anaipeleka spidi sana jua kuna kamchezo hapo....(mwenye kuujua aongeze au kutujuza mbinu nyingine............).............au chuma chochote kizito upande mmoja wa mizani...
nasikia ni wengi wanafanya hivi kwa hiyo kwa wale wasio na hii nyuzi jitahidini nanyi kufanya kauchunguzi au kuepuka bucha za kimagumashi............
Hakuna penye usalama!!!! yamkini hata kwenye mchele, sukari, n.k yanafanyika haya jameni....................!!!!!Besides hawa mawakala wa vipimo inabidi waamke !!!! ...Rushwa????