Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Kutokana na kujiuzulu kwa Skretariat na Kamati Kuu ya CCM -- hivyo kujiuzulu kwa Makamba, mtu ninayemsikitikia ni Tambwe Hiza. Kilaza huyu kuwamo ndani ya CCM na kupewa mdomo mpana ambao kautumia vibaya kukimbiza wanachama ni kazi ya Makamba.
Sasa inavyoelekea kwamba Tambwe Hizza na watendaji wengine aliyowarundika Makamba ndani ya uongozi wa CCm katika mikoa/wilaya mbali mbali watakula kwao, maana atakuja Katibu Mkuu mwingine ambaye ni lazime asafishe uoza aliopandikiza Makamba.
Kuna yule mwngine Katibu wa Mkoa wa Dar, ambaye alikuwa anatumiwa sana na mafisadi sijui jina lake -- nadhani ni Kilumbe. Naye aanze kufungasha.
Sasa inavyoelekea kwamba Tambwe Hizza na watendaji wengine aliyowarundika Makamba ndani ya uongozi wa CCm katika mikoa/wilaya mbali mbali watakula kwao, maana atakuja Katibu Mkuu mwingine ambaye ni lazime asafishe uoza aliopandikiza Makamba.
Kuna yule mwngine Katibu wa Mkoa wa Dar, ambaye alikuwa anatumiwa sana na mafisadi sijui jina lake -- nadhani ni Kilumbe. Naye aanze kufungasha.