valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,851
- 868
Hao ni vipaji maalumu.
aliyepigwa atakuja kuwa waziri wa nishati na madini hapo baadae.
ndo maana tunashauriwa kuchagua mke mwenye akili timamu,usije kuchanganyiwa madesa.
sio swala la kuuliza mkuu,ni nchi ile ile ya chama kilekile yaani Ccm.Malizia kabisa,rais na waziri mkuu wa nchi ipi?