ndo nimekodoa macho labda ndo Kipipi mwenyewe
Sidhani kama nikikuwekea picha yangu . . .bado utapenda kuikodolea!
Si unakumbuka nilichokwambia juzi Kipipi? I WAS RIGHT.
wow,nifanyie hiyo favour basi ya kuona picha yako,nitakodoa kwa makini,maana una maandishi mazuri sembuse picha
Ha haaaa, bora umemu-warn kabisa, asije akaja kutulilia hapa, maana hueleweki kaka wewe, lol!Hahahaaaa mi simo endao C6 akikumwaga kwa ajili yangu
Uzuri najijua @FpHa haaaa, bora umemu-warn kabisa, asije akaja kutulilia hapa, maana hueleweki kaka wewe, lol!
mmh mimi habari ya kusuka akaa!minywele hii wasusi wanaringa kama nini ni mwendo wa dread mwanzo mwisho
Mmmmh hapo pagumu kuna urasimu wa kiofisi
Hata hivyo ni vizuri ukaahirisha ndugu kabla hujawa dissappointed. LOL
Sidhani kama nikikuwekea picha yangu . . .bado utapenda kuikodolea!
hihihi imebidi niulize vizuri kwanza....
Kuna majongoo na sausages kama unapenda kusuka style ya nywele fupi