CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
- Thread starter
- #21
Mi siku hizi sisuki naachia unywele wangu, umekuwa mrefu full kujidai...............lol
mwanamke u-hair bibi!
Mi siku hizi sisuki naachia unywele wangu, umekuwa mrefu full kujidai...............lol
ntakutaftajee, we ngoja zioteote, je kule msitu wa mabwepande pia wasuka????
Elizabeth Dominic kwani aje mumy?Usinitafute shari Jumapili hii Erickb52......oooh.....i beg
Iwe Mabwepande, msitu wa Pande, ama Forest hill twende kaazz!
Ni kwa option ya msukwa , ndivyo msusi atakavyotenda haki .
Elizabeth Dominic kwani aje mumy?
nywele za wapi ili nitiririke?
mwanamke u-hair bibi!
really?????
Hivi lace wig sio msuko?
Mie style yangu kama mama anna abdallah na madame supika akiwa nchini. Ile style ya kupandia ndege uvivu afu gharama.
nawachek mjue
Kuruni
nawachek mjue
yeuwii, ndo msuko gani tena huo?????
Unajua BN hujamtendea haki mtoa mada!
Hapa kisa mkasa ama issue ni mitindo ya nywele ujue !
Huo ni mtindo gani "nawachek mjue"? Unasukwasukwajwe ?
Mtakerazi mtoa mada due machakachuzi !