kwanza rekebisha hilo tangazo linamislead kilichoibwa si mitihani ila ni majibu ya mitihani, halafu tukumbuke kuna bahati mbaya tusilaumu sana, he is a human being so anaweza kukosea, by the way kabla hamjalaumu mnatakiwa kusikiliza sababu alizotoa na zimepoteaje, kitivo cha sheria hawajafanya siri ila walikuwa wanaangalia uwezekano kwanza wa kupatikana kabla ya kutangaza, mtihani kurudiwa its okey kila mtu apate anachostahili, tupo tayari kurudia pepa tukishapewa notice na good reason za kurudia.
solidarity forever.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.