Mitihani ya UE kusahihishwa TCU.

Kumbe jf kumejaa walimu wa kiswahili wengi kiasi hiki khaaa...Najutaaa.. kuwafahamu
Heli yako umemaliza univesty na sasa unaendelea kutoa ilmu hapa kwenye kibalaza cha JF na hapo ndio tunasema ilmu ni kitu bola sana ingawa si lahisi kuipata katika mazingila yetu ya sasa kwa sababu ya mizengwe ..................LOL
 
Heli yako umemaliza univesty na sasa unaendelea kutoa ilmu hapa kwenye kibalaza cha JF na hapo ndio tunasema ilmu ni kitu bola sana ingawa si lahisi kuipata katika mazingila yetu ya sasa kwa sababu ya mizengwe ..................LOL

Bola na 'ilmu' ndio nini? Au ulimaanisha 'bora' na 'elimu'?
 
Sijakudharau, nimekwambia kweli, kama msomi wa chuo hutakiwi kufanya makosa ya primary school. Nyie ndio mnaopendelewa na NECTA.

na pia sio "randomyl"...ni RANDOMLY huyu jamaa atakuwa amemaliza chuo cha kata nadhani..
 
Bola na 'ilmu' ndio nini? Au ulimaanisha 'bora' na 'elimu'?

"bola(bora)..ilmu(elimu)..lahisi(rahisi)..heli(heri)..mazingila(mazingira)"...hivi wewe ni mtanzania kweli? uwwiiiiii kuna haja ya vitambulisho vya utaifa kukamilika fasta!..
 
Sakata linaloendelea hujaliona? tazama magazeti ya leo.
hiki hapa? nimemsikiliza dr Kawambwa hapo sasa unalalamika nini tena?
[video=youtube_share;wuih_jq7hMU]http://youtu.be/wuih_jq7hMU[/video]
 
Heli yako umemaliza univesty na sasa unaendelea kutoa ilmu hapa kwenye kibalaza cha JF na hapo ndio tunasema ilmu ni kitu bola sana ingawa si lahisi kuipata katika mazingila yetu ya sasa kwa sababu ya mizengwe ..................LOL

Elimu na siyo ilmu.
 
Hivi kwa nini mitihani ya UE isiwe inasahishwa na bodi maalumu kama ilivyo NECTA kwa shule za secodary natamani iwe hivi ili kupunguza unfair zinazotendwa na wahadhili wetu hapa Tz.Unakuta mdhari anajiona kama mwinyi na kufanya aogopwe utafikiri MUNGU mtu nakumbuka kabla ya kuingia chuoni nilipewa maneno ya kunitisha eti "usithubutu kugombana na lecture hata kama kakugongea demu wako" niliogopa sana kwa kweli na nilipoingia chuo niliziona unfair nyingi sana.Je kwa nin wasisahishe UE kule TCU kwa kuapoint wahadhili randomyl kutoka mavyuoni?

wewe unadhani chuo kikuu ni sekondari? siku hizi mmeruhusiwa wengi mno kusoma ndo maana haya yanatokea. wewe mtu una div 3,4 unaingia tu chuo unategemea nini? tena nyie mliopata div 3/4 ndo waongeaji wakubwa.
 
"Hivi kwa nini mitihani ya UE..." hapa ulimaanisha nini mkuu? Au ulimaanisha University Examination? Kama jibu NDIYO. Je ukitafsrika ni sawa na kusema ..."Hivi kwa nini mitihani ya mitihani ya chuo kikuu..."

Natumaini utakuwa umemaliza chuo kikuu mapema sana kabla ya msimu wa shule za ukata.

na inaonyesha hajitambui, hivi wewe ushasema mitihani ya UE nini kirefu cha UE? aache kuidharau mitihani ya UE, hawa ndo makompliketa wa mjini kila anapopita lazima wamjue amesoma chuo kikuu hata kama aliingia na div 4
 
Umesahau kama still utabanwa katika CW kiasi hutosha hata mark za kukuwezesha kufanya hata hiyo UE yenyewe?
 
Back
Top Bottom