Serikali imepata woga gani tena, mbona mlitutangazia kuwa katika mkakati wa kuhakikisha hatupati tena wanafunzi wasiojua kusoma wala kuandika kujiunga na shule za sekondari za kata kama ilivyokuwa mwaka jana, serikali ingetumia walimu wa sekondari kusimamia mitihani hiyo.
Sasa nini kimewasibu tena kuna ukweli kuwa ni woga wa kuhofia sekondari za kata kukosa wanafunzi kwani watoto wangefeli sana?.
Sasa nini kimewasibu tena kuna ukweli kuwa ni woga wa kuhofia sekondari za kata kukosa wanafunzi kwani watoto wangefeli sana?.