Mitandao ya simu sasa kwishinei

Mnatumix akili bana. Anayeijua mada hii kitaalamu aiweke humu kwa uwazi zaidi. Swali langu binafsi ni hili, Simu yangu ni SUMSUNG Galas S Plus. GT 19001 iko na WIFI. Nayenyewe inaweza kama hizo mnazoziesma za Iphone?
 
Tatizo jengine na voip (skype,google talk,viber) anayepiga na anayepokea nyote mnalipia data transfer. Hata hivo voip inalipa ukiwa na unlimited data plan.
 


hahahaha.. katavi..i know .. i know .. hii ni ngumu..! kumeza

actually hii kitu haina tofauti na skype! but viber ina acesss phone book yako ... mfano ukisha install viber app .. kama kuna mtu kwenye phone book yako anatumia viber anapata allert kwamba "ebana katavi anatumia hii kitu kama vipi mu add" kumbuka ukiistall viber itakuuliza uingize number yako ya simu ...

"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯

Mkuu najitahidi sana kuelewa lakini nashindwa, sijui ni hangover za wikendi! Vipi Nokia N series inafaa kwa huduma hii?
 
hiyo hapa bado maana hatuna Wimax au wireless.so bado ili kupata internet kwenye simu lazima uwe kwenye coverage ya mitandao hiyohiyo unayosema kwishnei
 
na bibi yangu aliye sitimbi kijijni na simu ya nokia ya tochi je? Haya ni mambo ya mjini tu,tena kwa wale wanaojua techno za simu si kila mtu hivyo kuhama voda,tigo etc bado ni ngumu?
 
hiyo hapa bado maana hatuna Wimax au wireless.so bado ili kupata internet kwenye simu lazima uwe kwenye coverage ya mitandao hiyohiyo unayosema kwishnei

sure, halafu namba utayotumia kwenye viber itakuwa ni ile ile ya mitandao aliyoiita kwishney,
 
Unapenda vya bure eeenhee... Jiangalie

...sio kupenda vya bure,watu upenda kujifunza vitu vipya...kama umeelewa jaribu kutueelewesha vizuri kama ni-vp kaa kimyaa coz kwa maelezo yako haya inaonyesha hata wewe haujaelewa kitu...
 
jaman mie mpaka sasa ni tatu bila.
hebu naomba mnigagadulie vizuri wadau.

anaejua atueleze vizuri kama mdau aliye anzisha thread ya KUTUMA SMS BURE alijitahidi kutufafanulia vizuri.
 
Back
Top Bottom