Ninaomba kufahamishwa mitandao ya kijamii ya aina ya Jamii forums kutoka nchi za jirani kama Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Malawi, Zambia na Congo ( DRC). Iwe ni ya lugha ya kiswahili au kiengereza ni sawa sawa.
Ninahitaji na kusoma na mitandao ya wenzetu kuna nini... Ninaomba kufahamishwa mitandao ile yenye wasomaji, wachangiaji wengi.
Asante kwani hapa JF ni shule ya kita kitu
Ninahitaji na kusoma na mitandao ya wenzetu kuna nini... Ninaomba kufahamishwa mitandao ile yenye wasomaji, wachangiaji wengi.
Asante kwani hapa JF ni shule ya kita kitu