Mitandao isitumike kumchafua Rais

Rais anahusika vipi na matokeo ya mtoto wake? uzumbukuku huu.

Mama Porojo,

Nimekubali kweli wewe ni mama wa porojo! Please hebu acha porojo zako.

Rais anahusika moja kwa moja na matokeo mabovu ya mtoto wake. Yeye na Serikali yake ndiyo waanzilishi wa mfumo mbovu wa Elimu ya MMEM na MMES ambayo hakika ume-prove failure. Mimi napingana na Mhariri wa Gazeti la Tanzania Daima moja kwa moja.

Ufaulu wa matokeo ya Kidato cha 4 mwaka jana ni asilimia 53! Kwa maana kwamba asilimiia 47 wamefeli(Div 0). Hii kwa hesabu za makadirio is almost 50 pc!!!Ni kweli Mwanaisha Kiwete hajafeli maana amepata DIV.VI na yuko kati ya ile 53. Lakini kulingana na Shule aliyokuwa anasoma ilitegemewa apate DIV1 au 2. Yawezekana elimu ya msingi ya mtindo wa MMEM aliyoingia nayo pale Sekondari ndiyo imem-cost.

Bila shaka matokeo ya Mwanaisha yasingekuwa issue kama UFAULU WA VIJANA WA FORM IV mwaka jana ungelikuwa mzuri kwa nchi nzima. Lakini watu 47% kupata 0 siyo jambo la kawaida. Lazima huu udhaifu usemwe ili watu wabadilike kuanzia kwa Rais, Wizara ya Elimu na Mafunnzo ya Ufundi, Baraza la Mitihani(NECTA) na viongozi wote wazembe.
 
Japo mitandao ya jamii imekuwa jukwaa la maoni hasa kwa wale wasio na sehemu ya kusemea.Kwa maoni yangu wachangiaji wanapaswa kutumia lugha yenye staha,lakini waachwe watoe maoni yao.
 
JF ipo wazi kwa mtu yoyote atakaeweza kuifungua,,so hakuna alieiba habari yoyote kutoka JF. Kama mtu anajua kusoma na kuandika basi hata akichukua taarifa yoyote kutoka jf huwezi kumuhukumu.

Ni kweli kabisa kwamba watu wamemchafua JK na kumkosea heshima. Ukitaka kuhakikisha juu ya hilo pitia comments za watu walizochangia. Ni wazi kabisa kwamba wametumia kauli chafu.

after all kama mtu unakazi za kufanya huwezi kuongelea matokeo ya mtoto wa rais kwani hayata kusaidia chochote.
 
Editorial page ya Tanzania Daima haiwezi kumtetea Kikwete hata siku moja, hili ni dongo kwa Rais na mwanae lililojificha, veiled attack. Mwandishi ni mtu mahiri sana, very shrewd critic.
 
Hata huku mtaani mtoto akifail huwa anasemwa. The difference here is the levels.

Kwa ujumla Mwanaasha ndiye aliyemwaibisha baba yake.............. Jamii ya watanzania inamesaidia tu kumkumbusha Mwanaisha kuwa alitakiwa afanye bidii kwenye masomo badala ya kubweteka na raha za magogoni. Kama akina RizOne waliokulia nje ya magogoni na probably kusoma shule za kawaida lakini waliweza kufika Versity, inakuwaje yeye ashindwe??


Hata Witney na michael Jakson wamekufa watu wamewasema kwa mitizamo tofauti worldwide kwa ajili ya umaarufu wao. Hilo ni jambo la kawaida kwa watu maarufu. Sasa Mwanaasha alitakiwa kulijua hilo na kufanya bidiii. Nadhani kama angepata Div One na kusifiwa hu mitandaoni nafikiri Mwandishi asingesema kuwa ni mambo binafsi.
 
Mimi ni mama yako.
mama yako sio mwanamke wa maana?

usiwe kama kunguru, unakunya ili ule!

[QUOTENews is "when a man bites a dog not When a dog bites a man".][/QUOTE]
Amkane kwa lipi? na wewe cha ajabu unachokiona ni kipi? Hapo kwenye red ELIZA na wewe ni mmoja wa hao wanawake wa maana?
 
Huu ni mwanzo wa anguko la cdm kama chama cha upinzani. Hii tahariri ya tanzania daima ilipaswa kuandikwa uhuru na habari leo. Ngoja tuendelee kutazama hii sinema

Kwa kipindi cha nyuma ilikuwa ni vigumu sana kukutana na tahariri kama hii kwenye gazeti la Tanzania Daima, kwa hali hii inaonyesha wazi kuwa hata wao wametambua kuwa siasa au mijadala inayomhusu Rais sharti iwe na manufaa na isiwe ya kumtukana.
 
Kwanza, kudos Tanzania Daima kwa kuendelea 'kumchafua' rais kwa kuwafikishia Watz wote kuwa Mwanaasha bint dr dr dr mheshimiwa kanali(?) Amiri Jeshi mkuu wa vikosi vya majeshi yote ya bongo tambarare, rais wa Jamhuri ya muungano wa (kulazimisha?!) au wa (viongozi?!) Tanganyika na zanzibar AMEPATA DIV IV.... Hii ndiyo hasara ya kuwa kichwa ngumu! Baada ya matokeo mabovu ya 2010, serikali yoyote inayoundwa na watu wenye akili timamu ingetegemewa kuchukua kwa haraka hatua za makusudi kuufanyia mageuzi makubwa mfumo wetu wa elimu na kufanya maboresho yote yaliyotakiwa. Lakini kwa hawa wezi hawakujali. Kwanza ingekuwa bomba kama vitoto vyao vyote vingeibuka na ZERO. T Daima pamoja na hoja zao za kipumbapumba ktk hili, nawapa hongera kwa kusambaza zaidi matokeo ya huyo mtoto!!!
 
Kwanza, kudos Tanzania Daima kwa kuendelea kuchafua rais kwa kuwafikishia Watz wote kuwa Mwanaasha bint dr dr dr mheshimiwa kanali(?) Amiri Jeshi mkuu wa vikosi vya majeshi yote ya bongo tambarare, rais wa Jamhuri ya muungano wa (kulazimisha?!) au wa (viongozi?!) Tanganyika na zanzibar AMEPATA DIV IV.... !
Duh!
iyo sivii imekaa vema, au ni mwendelezo wa uchafuzi
 
Rais anahusika vipi na matokeo ya mtoto wake? uzumbukuku huu.

Angekuwa rais ni Dr. Slaa wala asingeusika.
Lakini kama rais anaitwa Jakaya Mrisho Kikwete, na mtoto aliyepata huo uchafu anaitwa Mwanaasha Jakaya Kikwete, hapo lazima rais atakuwa anausika kama baba wa mtoto.
I remember one quote from The Godfather (Don Vito A. Corleone), he said that; 'A man who does not spend time with his family, can never be a real man'
huyu JK kazi kuzurura tu, hapati muda wa kukaa na taifa lake, even his family. Wache watu wamseme tu.
Kama mtu kui handle family imekuwa ishu, si ndo mana tunaona hata nchi imekua vigumu kuiongoza.
 
Hapa Tanzania daima wanajaribu kujirudi baada ya kushutumiwa hivi karibuni kwa maandishi yake dhidi ya raisi.La hivi karibuni ni pale waliposhutumiwa na ikulu kwa kukosea mpaka jina la mji ambao rais alikuwa anahudhuria mkutano.Wanajaribu kutumia opportunity hii kumuonyesha kuwa wanaweza pia kumsafisha.Vinginevyo sioni tatizo la kumtetea rais hapa ila nashangaa watetezi kuwa Tanzania daima tena kwenye maonh ya mhariri!
 
si lazimiki kukisoma tanzania daima.........hoja hii ya huyu mtoto imejadiliwa kirefu hapa labda hukusoma.......ni kuwa mtoto kama huyu mwenye kuishi katika mazingira bora pengine kuliko watoto wote wa tanzania hii kwanini anashindwa kupita mitihani yake?

Watu walitaka kuonyesha vimemo vinavyoumbua watu, unataka kuniambia huyu mtoto alipita usahili wa kujiunga na ile shule??????????
 
Mimi ni mama yako.
mama yako sio mwanamke wa maana?

usiwe kama kunguru, unakunya ili ule!

[QUOTENews is "when a man bites a dog not When a dog bites a man".]
[/QUOTE]

1) Tatizo ni wewe mwenyewe uliyesema kuwa "ni aibu mbele za wanaume na wanawake wa maana" hapa nikaona kumbe kuna wanawake na wanawake wa maana? siyo kosa lako lakini maana sisi wa mama siku zote tunadharauliana kuliko akina baba. Na kwa hil tusi hapo kwenye red juu, umenithibitishia kuwa wewe kama kweli ni mwanamke basi ni c***ngu tu usie na maana yoyote na huwezi kuwa na mama yangu wewe.

2)
News is "when a man bites a dog not When a dog bites a man" kwa wana habari maana ya hii kauli ambayo kwa kukuelimisha tu ni inamaanisha kuwa "don't ignore any news and ethically let When a dog bites a man be news and when a man bites a dog benews of the same value too" Don't user proverbs without knowing its implied meaning girl.

 
Back
Top Bottom