Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Jamani nimejaribu kuwadadisi watoto wanayojifunza shuleni(english medium na non english medium) nimegundua kuwa bado wanafundishwa yale tuliyofundishwa zamani ambayo nadhani ni upotoshaji kwa watanzania.
mfano ukiwauliza wanafunzi haya watakupa majibu yafuatayo
Ndizi ulimwa wapi hapa duniani utajibiwa JAMAIKA
Mtu wa kwanza kuona ziwa victoria atajibu kutoka ulaya
NK
Wakati wakijibu hiyo wengine wanaishi kwa kula ndizi jumatatu hadi jumapili na kuhusu ziwa wakati wakitaja kutoka ulaya,hapo wasukuma,wahaya na wanaozunguka ziwa hilo walikuwapo tangu linakuwepo ,hivi hii mitaala si ni kupotosha wanetu?
mfano ukiwauliza wanafunzi haya watakupa majibu yafuatayo
Ndizi ulimwa wapi hapa duniani utajibiwa JAMAIKA
Mtu wa kwanza kuona ziwa victoria atajibu kutoka ulaya
NK
Wakati wakijibu hiyo wengine wanaishi kwa kula ndizi jumatatu hadi jumapili na kuhusu ziwa wakati wakitaja kutoka ulaya,hapo wasukuma,wahaya na wanaozunguka ziwa hilo walikuwapo tangu linakuwepo ,hivi hii mitaala si ni kupotosha wanetu?