Sasa na hawa Watanzania wenzetu wanaowapiga wafanyakazi wao wa ndani na kuwachoma moto watoto kwa sababu wamedokoa nyama jikoni ndio tuseme watanzania wote tuko namna hiyo? Watoto wadogo wangapi wanachukuliwa kwenda kufanyishwa umalaya huko Italy ndio tuseme dini ya hao jamaa walioko Italy imewatuma wafanye hivyo? Hizi ni kasoro za kibinadamu ambazo kila mmoja ana zake, tusishambulie dini kwa namna yoyote ile. Nafikiri nimeelewekaAisee! Mimi nadhani ni madhara(effects) ya dini. Imewaharibu sana mpaka wanakaribia kuwa wanyama. Siwashangai Wasomali
Sasa na hawa Watanzania wenzetu wanaowapiga wafanyakazi wao wa ndani na kuwachoma moto watoto kwa sababu wamedokoa nyama jikoni ndio tuseme watanzania wote tuko namna hiyo? Watoto wadogo wangapi wanachukuliwa kwenda kufanyishwa umalaya huko Italy ndio tuseme dini ya hao jamaa walioko Italy imewatuma wafanye hivyo? Hizi ni kasoro za kibinadamu ambazo kila mmoja ana zake, tusishambulie dini kwa namna yoyote ile. Nafikiri nimeeleweka
Sisi hatushambulii Dini. Ila tuelezea Waarabu walivyo makatili kupita kiasi. Bahati mbaya sana hulka yao na namna ya maisha yao yanaendana na Dini yao. Hao wa mifano yako kuwa wanakwenda huko Italy kufanya Umalaya ni bora zaidi kuliko wale wanaowabaka wafanyakazi wao wa ndani huko Uarabuni. Ubakaji wa watumishi wa ndani umekithiri sana Arabia kuliko sehemu yoyote Duniani. Kwanini hao waarabu wasiende tu huko Italy kulipia hizo mbunye?.
Hawa ndio waarabu bwana. Torturing kwao is the order of the day na ndiyo maana wakikosa wa kuatorture wanajitorture wenyewe. Hawana huruma hawa watoto wa mama mdogo kabisa!
Wacha unafiki wewe Kanyafu Nkanwa, nani kakwambia hao watumwa wanaochukuliwa kutoka Eastern Europe kupelekwa Western Europe wana maisha bora? Ubakaji wa watumishi wa ndani hata hapa Tanzania upo mwingi lakini hao mabinti wanaobakwa hawana access na vyombo vya habari ndio maana wakanyamaza.
Jee tuseme hao mapadri ma paedophiles wametumwa na kanisa?
Tafadhali usijumrishe kosa la mtu mmoja kwa mamilioni ya Waarabu. Je huyo Mwafrika chini aliyechinja tuseme ni ndio roho za Waafrika woote?.
Lt Col al Darmaki said the maid confessed to police claiming she killed the Arab woman because she mistreated her. Police say that the two women got into an argument and the maid was told she would be sent back to the employment agency.
amustafa@thenational.ae
Sure!
Kumbe huyu Mwanamke Mwarabu ndiye aliyeanza ukorofi?
Itakavyokuwa baada ya sheria kuchuua mkondo wake. Ila Kumbe wewe unaona ni sawa kuwa huyo manamke Mwafrika anachukuwa sheria mkononi mwake wa kuua mtu na mtoto wake? -Huo huuoni ama ni unyama kama hauzidi ukorofi? Hizi ndizo "jungle rules" unazo propagate? Na huyo mtoto kuuwawa ana dhambi gani? -
Ndo maana hao zeruzeru wanauwawa huko kwenu au kukatwa viungo bila hatia!!
Na wazee kwa visu kwa kuwahisi ni wachawi tu!! Hizo fikra ndiyo kwanza zinabidi zitibiwe! Maana nii maradhi kutukana au kujumrisha mamilioni ya watu isipokuwa kwa mtu aliye na akili finyu
kabla ya civil rights za Marekani, watu weusi walikuwa wakinyongwa hadharani kwa makosa madogo sana na mara nyingi ni ya kusingiziwa. Watu weupe wa kimarekani walikuwa wanakusanyika katika viwanja wanasheherekea tu, na wengine walikuwa wakifanya picnic. Roho mbaya na chuki haina kabila. Je Hittler alivyokuwa akiwatia Wayahudi katika majokofu ya joto ( ovens) alikuwa ni mwarabu wa wapi? Au alikuwa dini gani? Nadhani tujitahidi tusianze kujengeana chuki kiasilia au kidini tutafika pabaya. Ndugu zetu Wanyarwanda waliuana kikatili mwaka 1994, wote weusi, wengi wao walikuwa watu si wadini moja tu, bali hata dhehebu moja nadhani. Tujifunze kuvumiliana tafadhalini.
Kweli kabisa ila kuna dini nyingine zinachochea mauaji, usijifanye kuwa huna macho ya kuona na masikio ya kusikia! Wewe unadhani binadamu anaweza kujilipua bure tu? Umewahi kuona mtu wa dini gani akijiua kama sio dini moja tu duniani kwa njia ya Jihad ambayo wao hudai eti ni "vita takatifu?" Na huo "utakatifu wa vita," kama upo anyway, unatokana na nini?
kabla ya civil rights za Marekani, watu weusi walikuwa wakinyongwa hadharani kwa makosa madogo sana na mara nyingi ni ya kusingiziwa. Watu weupe wa kimarekani walikuwa wanakusanyika katika viwanja wanasheherekea tu, na wengine walikuwa wakifanya picnic. Roho mbaya na chuki haina kabila. Je Hittler alivyokuwa akiwatia Wayahudi katika majokofu ya joto ( ovens) alikuwa ni mwarabu wa wapi? Au alikuwa dini gani? Nadhani tujitahidi tusianze kujengeana chuki kiasilia au kidini tutafika pabaya. Ndugu zetu Wanyarwanda waliuana kikatili mwaka 1994, wote weusi, wengi wao walikuwa watu si wadini moja tu, bali hata dhehebu moja nadhani. Tujifunze kuvumiliana tafadhalini.
kabla ya civil rights za Marekani, watu weusi walikuwa wakinyongwa hadharani kwa makosa madogo sana na mara nyingi ni ya kusingiziwa. Watu weupe wa kimarekani walikuwa wanakusanyika katika viwanja wanasheherekea tu, na wengine walikuwa wakifanya picnic. Roho mbaya na chuki haina kabila. Je Hittler alivyokuwa akiwatia Wayahudi katika majokofu ya joto ( ovens) alikuwa ni mwarabu wa wapi? Au alikuwa dini gani? Nadhani tujitahidi tusianze kujengeana chuki kiasilia au kidini tutafika pabaya. Ndugu zetu Wanyarwanda waliuana kikatili mwaka 1994, wote weusi, wengi wao walikuwa watu si wadini moja tu, bali hata dhehebu moja nadhani. Tujifunze kuvumiliana tafadhalini.
We Luganilo, sisi tunaongelea ukatili wa Waarabu. Bahati mbaya waarabu karibu wote, ukiondoa wachache sana, ni Waislam!. Sasa kama tunaongelea waarabu, wewe hizo chuki zako unazohubiri hapa ni za wapi? Tulitegemea na wewe ungeunga mkono kuwabana waarabu waache udhalimu wao. Issue za kwamba USA miaka hiyo kulikuwa na watu wanawapiga risasi wenzao, je hujui kuwa hata hapa TZ kulikuwa na waarabu wanawaua weusi ambao wanashindwa kubeba meno ya tembo kufikisha pwani au kuwatupa baharini wale wagonjwa?. Je hujui kuwa weusi wote waliopelekwa Arabia walihasiwa nanii zao ili wasiweze kufanya lolote? Hujawahi jiuliza kwamba kwanini wale weusi wote waliokuwa wakiondoka huku Tanzania au East Africa kupitia soko maarufu la Ngome kongwe Zenj kwa kutumia pepo za kusi kwenda Arabia wako wapi?! Huoni hivyo vitu kabisaaa!
Usilinganishe vitu ambavyo haviendani kabisa. Tunaongelea UKATILI uliokithiri wa waarabu. Ni wadhalimu wakubwa sana na watu wabaya sana ambao utamaduni wao haufai kuigwa popote Duniani. Ni noma sana hao watu