Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
asiye amini hasomi hadiith, maana hata mtume wetu mbora wa dar'ja mhammadAnaye amini mambo ya uchawi na misukule naye mchawi kama si msukule!
aliwahi rogwa kwa kuchuliwa nywele zake katika kichanio alichotumia, hata akawa network
surch kwa mwaka mzima, asa we unasemaje? ebo unapotasha watu wasiamini uchawi upo eee?