bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
kwani B uliniwekaga fungu gani? la uswazi au la east coast? LOL
aaaaah la walei tu kama kawaida
kwani B uliniwekaga fungu gani? la uswazi au la east coast? LOL
aaaaah la walei tu kama kawaida
Mlei wa bar au?
Bar kuna makatekista na walei wa kumwaga! Njoo zero pub Eliza akuchape injili.mlei kabisa kama kanisa linavomtambua....bar nako kuna kundi hili??
Bar kuna makatekista na walei wa kumwaga! Njoo zero pub Eliza akuchape injili.
Kwahiyo utakuja au huji? Niko siriaz ujue!sasa wewe Iribini mi hayo mambo ya eliza siyataki kabisa.....hubiriwa mwenyewe na kampani yako....kumbe wahudumu wa bar nao ni makatekista?
Kwahiyo utakuja au huji? Niko siriaz ujue!
Apia kwenye PM basi! Nawe utamwaga mchele kwenye kuku wengi! Ebo!recall my PM ya kwenye simu last nite nilisemaje??? au ndo mpaka niapie
will do that kule kwenye simu maana hata hapa itasomwa na nanihiii.......hahaaa!!!Apia kwenye PM basi! Nawe utamwaga mchele kwenye kuku wengi! Ebo!
Am waiting! Whats taking you so long?will do that kule kwenye simu maana hata hapa itasomwa na nanihiii.......hahaaa!!!
Am waiting! Whats taking you so long?
center of gravity ipi? mana ziko mbili hapo depends on the sexCentre of gravity
mmh! usirudie tena hili,mana wanaweza kukuumiza, yaani wakiwa wengi ndio uwape ? loooh!wametaka nibadili avatar nikawasikiliza, wengi wape
wewe unapendelea ipi?
happy new year Best sijakusikia siku kibao upo?!...nilidhani umewekwa ndani for a minute...LOL!
ndio vekesheni hizo!!!heheheheh nimewekwa ndani kwani kidogo! yaani nimeamini kuna sehemu ukigusa best you are deemed to be lost completely! najitahidi hapa kujinasua lakini chai yenyewe naletewa kitandani nambie ntatokaje sasa...
how are you doing?
ndio vekesheni hizo!!!