Yan Kongosho we ni zaidi ya Guy....mamaaa mwenyewe...ila ilitakiwa aseme kwa mjumuishohata mie niko ndani ya guys?
hata wewe'
Yan Kongosho we ni zaidi ya Guy....mamaaa mwenyewe...ila ilitakiwa aseme kwa mjumuisho
Hahahahaaa ila ili iwe moja inabidi atulie au agonge /ha ha ha
unajua huwa kuna hii yenye 'u'
na ile nyingine yenye 'a'
ukizichanganya, inakula pande yako
tupo kwenye mihangaiko ndugu yangu subiri mwaka upinduke tutarudi jamvini oa.Nalog off
niko mbali kidogo,nami nimewamiss mno nyie watu,ila ndio sina jinsi,huku niliko stater pack ya simu inauzwa karibu US$ 200 na mizengwe kibao ya kusajili sijui nini,basi nipo kama niko kaburini vile sina mawasiliano wala nini :sad:.Nalog offnimekumic sana jamani,upo?
Karibu tena jamvini mana,huku facebook hakufai halafu pia majina kama hayo yako tabu tupuFesibuku watoto wamezidi' nimeamua kurudi janvini' JF.
niko mbali kidogo,nami nimewamiss mno nyie watu,ila ndio sina jinsi,huku niliko stater pack ya simu inauzwa karibu US$ 200 na mizengwe kibao ya kusajili sijui nini,basi nipo kama niko kaburini vile sina mawasiliano wala nini :sad:.Nalog off
niko mbali kidogo,nami nimewamiss mno nyie watu,ila ndio sina jinsi,huku niliko stater pack ya simu inauzwa karibu US$ 200 na mizengwe kibao ya kusajili sijui nini,basi nipo kama niko kaburini vile sina mawasiliano wala nini :sad:.Nalog off