Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,203
- 1,462
Kwani hujaona heading mpaka ufungue huku?Mod mpeni msamaha Faiza tumemiss manjonjo yake jamvini,
.I miss haa two.
I mic haa four.
I mc haa three!
Its true, ni miongoni mwa wanawake wa shoka humu jukwani!. Sidhani kama kupotea kwake ni sababu ya ban, huyu atakuwa kaisusa jf baada ya kugundua ile agenda yake na guru wake Mzee MS inapata upinzani mkali humu jukwaani, kajifungashia virago vyeke na kujiishia zake!.Its human nature to recognise someone's importance only when they are gone.
Da kwa huyu FF aendelee kula BAN tu.
i mic haa four
kwani ana ban ya muda gani?
wanasema ya maisha!