Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,900
- 21,987
Habarini za mchana wana ndugu,....
nimefika zanzibar nikaona mambo ya kunishtukiza ambayo kama
waelimshaji wa jamii tunaitaji kurekebishana......
Mshiriki wa miss tanzania 2007/8 Ailiekuwa MISS RUKWA
UPENDO NSAMULI aliekuwa akiishi pale tandale .....mwezi wa saba alipata
bahati ya kuolewa na kijana mmoja wa bara ambaye hapa zanzibar anajiita predeshe wa congo na kufunga suruali zake kifuani....shuguli za sendoff zilifanyika paale msasani club kwa shuguli kubwa kabisa.....baadaye anandugu wakaelekea zanzibar kumkabidhi mtoto wao kwa predeshe wa congo....gafla mtoto akaanza kujirusha huku predeshe akiwa ofisni kutafuta maisha huku watu wakimega mkate wa bwana....kiliimuuma sana wakati akiwa anajitayarisha kueleka dar kwa wazazi wa mtoto gafla akiwa kazini mwanamke akakomba kila kitu akaelekea kwa marafiki zake......hivi sasa anaishi kwa marafiki zake huku jioni wakizunguka na malaya wa BONGO wanaoishi zanzibar wakitafuta market.....baya zaidi binti huyu anasiktisha sana ukimwangalia kwa kweli jamani ni mzuri mungu amempa macho ya wizi sura ya lundenga...yaani acha tu...jamaa ameamua kumkatia RB ...BAADA YA KUAMBIWA NA MARAFIKI ZAKE WATU WANAENDELEA KUUMEGA MKATE WAKE KWA SIKU DOSE MARA 5*7 MKULU AMEAMUA KUWA MPOLE NA KUKUBALI MATOKEO.....
KWAKO MH LUNDENGA.....
DHUMUNI LA MISS TANZANIA SI KUWATONGOZA NA KUWAFUNDISH A UMALAYA WATOTO WETU KAMA WANAVYOKUJA KUARIBIKA...NILISHATOA MADA YA UCHAFU UNAOFANYIKA KAMBINI MISS TANZANIA NAJUA KILA MTANZANIA ANAELEWA NINI MAANA YA KUWA MISS....HAKIKA KUANZIA KWENYE KAMBI NI KUUZANA TUPU WAKIONGOZWA NA DALALI WAO LUNDENGA...HAWA WATOTO BAAYA ZAIDI WAMEKUWA WAKIDANGANYWA NA WAKINA LUNDENGA HUYU NDIE JAJIMTARAJIWA NA NDIO MAANA UNAKUTA WENGINE BADA YA KUSHINDWA NA HUKU WAMESHAFANYWA WANAKUW KAMA MACHIZI NA KUANZA KUROPOKA MAGAZETINI.....LUNDENGA HILI NI ZAO LAKO.....NA NYIE WANAWAKE ACHENI KUJIRAHISISHA OVYO MATOKEO YAKE HATA UKIMALIZA MASHINDANO WE NI WA KUCHAPWA TU....NDIO MAANA WENYE MACHO TULICHEKA KUONA NDOA YA HUYU BWANA MAANA TULIKUWA TUKIMUHESABIA SIKU...MPAKA HATIMAE....JAMANI HAWA WANAWAKE WANASHIKWAGA NA KIDUDU MTU.AMA JINI MAHABA ONA WEMA SPETU NAE YALE YALE...MMMMHHHHH MH RAIS TUNAOMBA UANGALIE VIZURI HAYA MASHINDANO
nimefika zanzibar nikaona mambo ya kunishtukiza ambayo kama
waelimshaji wa jamii tunaitaji kurekebishana......
Mshiriki wa miss tanzania 2007/8 Ailiekuwa MISS RUKWA
UPENDO NSAMULI aliekuwa akiishi pale tandale .....mwezi wa saba alipata
bahati ya kuolewa na kijana mmoja wa bara ambaye hapa zanzibar anajiita predeshe wa congo na kufunga suruali zake kifuani....shuguli za sendoff zilifanyika paale msasani club kwa shuguli kubwa kabisa.....baadaye anandugu wakaelekea zanzibar kumkabidhi mtoto wao kwa predeshe wa congo....gafla mtoto akaanza kujirusha huku predeshe akiwa ofisni kutafuta maisha huku watu wakimega mkate wa bwana....kiliimuuma sana wakati akiwa anajitayarisha kueleka dar kwa wazazi wa mtoto gafla akiwa kazini mwanamke akakomba kila kitu akaelekea kwa marafiki zake......hivi sasa anaishi kwa marafiki zake huku jioni wakizunguka na malaya wa BONGO wanaoishi zanzibar wakitafuta market.....baya zaidi binti huyu anasiktisha sana ukimwangalia kwa kweli jamani ni mzuri mungu amempa macho ya wizi sura ya lundenga...yaani acha tu...jamaa ameamua kumkatia RB ...BAADA YA KUAMBIWA NA MARAFIKI ZAKE WATU WANAENDELEA KUUMEGA MKATE WAKE KWA SIKU DOSE MARA 5*7 MKULU AMEAMUA KUWA MPOLE NA KUKUBALI MATOKEO.....
KWAKO MH LUNDENGA.....
DHUMUNI LA MISS TANZANIA SI KUWATONGOZA NA KUWAFUNDISH A UMALAYA WATOTO WETU KAMA WANAVYOKUJA KUARIBIKA...NILISHATOA MADA YA UCHAFU UNAOFANYIKA KAMBINI MISS TANZANIA NAJUA KILA MTANZANIA ANAELEWA NINI MAANA YA KUWA MISS....HAKIKA KUANZIA KWENYE KAMBI NI KUUZANA TUPU WAKIONGOZWA NA DALALI WAO LUNDENGA...HAWA WATOTO BAAYA ZAIDI WAMEKUWA WAKIDANGANYWA NA WAKINA LUNDENGA HUYU NDIE JAJIMTARAJIWA NA NDIO MAANA UNAKUTA WENGINE BADA YA KUSHINDWA NA HUKU WAMESHAFANYWA WANAKUW KAMA MACHIZI NA KUANZA KUROPOKA MAGAZETINI.....LUNDENGA HILI NI ZAO LAKO.....NA NYIE WANAWAKE ACHENI KUJIRAHISISHA OVYO MATOKEO YAKE HATA UKIMALIZA MASHINDANO WE NI WA KUCHAPWA TU....NDIO MAANA WENYE MACHO TULICHEKA KUONA NDOA YA HUYU BWANA MAANA TULIKUWA TUKIMUHESABIA SIKU...MPAKA HATIMAE....JAMANI HAWA WANAWAKE WANASHIKWAGA NA KIDUDU MTU.AMA JINI MAHABA ONA WEMA SPETU NAE YALE YALE...MMMMHHHHH MH RAIS TUNAOMBA UANGALIE VIZURI HAYA MASHINDANO