Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Mwaka huu kamati imechemsha,mtaalamu wetu wa picha naomba uweke picha ya kipenzi chetu Miriam hapo pembeni watu waone tofauti.Hata yule cheusidawa mwenye bluu ana nafuu.
Mwaka huu kamati imechemsha,mtaalamu wetu wa picha naomba uweke picha ya kipenzi chetu Miriam hapo pembeni watu waone tofauti.Hata yule cheusidawa mwenye bluu ana nafuu.
dahhhh kikwete kapigiwa d ebe live na mrembo baadaya kuulizwa atamchagua mtu wa aina gani, akataja hizo sifa kisha akasema jk anazo kwani anaongoza kwa ari nguvu na kasi zaidi
Miss Tanzania 2010 ni GENEVIEVE EMMANUEL toka Temeke
Sio kuwa matokeao yalipangwa .Ni dhahiri kuwa mchakato wa kuangalia nani anafaa ulianza siku walipoingia kambini.Na vigezo vya miss TZ hawaangalii uzuri tu,hata uelewa na akili.Sio rahisi sio ile moja ya fainali wakajua nani ana uelewa mkubwa na anastahili.Ndio maana inaitwa fainali,which means walikuwa na majina yao tayari ya 10 na tano bora.Niliiangali hii via Star TV kwa kweli quality ya picture hovyoooooo,picture mixing hopeless mpaka wanachukuana picha wenyewe kwa wenyewe.
Alafu sikuona kilichofanyika kuwapata 5 bora out of ten.
Pole kwa mrembo aliyejikwaaaaaa.
Kama matokeo yalikuwa hayajapangwa SIJUI manake bongo kila kitu ni mwendo wa kuchakachua ila uku naambiwa ni BARTER TRADE
mamiss wa wakati huu hapana bwana, mamiss walikuwa kipindi kile cha kina Nargis,Mercy,Happiness etc, hawa wa cku hizi khaa.
mamiss wa wakati huu hapana bwana, mamiss walikuwa kipindi kile cha kina Nargis,Mercy,Happiness etc, hawa wa cku hizi khaa.
jamani niwieni radhi lakini miss huyu is more in the ugly side than beautiful!
manake hiyo siku ya kuveshwa taji..............sijui wigi limekaa upande, and that red lipstic on her is a fashion faux pas!
nimecheka sana....yaani kulikuwa hakuna miss kati ya wote....
duhnaskia lundenga 'sana tu' kwa hao mamis eti hata mkewe wa sasa alishawahi kushiriki umiss na ndipo alipompatia huko