waanguke wote tu....Nasikia kuna mmoja kaanguka jukwaani?
kajikwaa kidogo lakini hajaanguka chiniNasikia kuna mmoja kaanguka jukwaani?
waanguke wote tu....
Duh, fasta hivyo?kumi bora inatangazwa
mara nyingi inakuwa hivyo,Kila anapotangazwa mshiriki anayeitwa CONSOLATA ukumbi unalipuka kwa mayowe.
Bila shaka huenda akaibuka mshindi.
Kila anapotangazwa mshiriki anayeitwa CONSOLATA ukumbi unalipuka kwa mayowe.
Bila shaka huenda akaibuka mshindi.