Miss parliament!

Hute

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,538
6,456
Sina hata la kusema 580177_10150762249524339_4701095_n.jpg
 
uyo mama amependeza na gamba lake la kijani aisee...mwanya pia dah...
 
kwa hapo hata mimi ningemwambia " sijui nikupeje"
 
yaani huwa nawaza sana huyu bi kiroboto anavoenda kwenye ziara nje ya nchi anaongea kweli kiingereza au kiswahili? maana sentensi zake za kiingereza zina matatizo mazito sana ya grammar
 
Mi nahisi imechukuliwa picha halisi ya Mama Makinda ikawa zombified!
Nice cartoon.
 
yaani huwa nawaza sana huyu bi kiroboto anavoenda kwenye ziara nje ya nchi anaongea kweli kiingereza au kiswahili? maana sentensi zake za kiingereza zina matatizo mazito sana ya grammar

Nani alikwambia English ni mojawapo ya kigezo cha Uongozi, wengi wanapewa wakalimani hata mama mwanaasha anaye wake.
 
yaani huwa nawaza sana huyu bi kiroboto anavoenda kwenye ziara nje ya nchi anaongea kweli kiingereza au kiswahili? maana sentensi zake za kiingereza zina matatizo mazito sana ya grammar

Lakini ndiye Spika wa bunge letu tukufu. Hata Rais Putin wa URUSI haongeago kiingereza anapokuwa nje ya nchi yake. Kwa technologia ya sasa hivi lugha sio kikwazo kabisaa maadamu kichwani ziwepo za kutosha.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom