Van Walter
Senior Member
- Jun 16, 2009
- 171
- 12
Na mi nawaombea wasiwe na uwezo wa kujieleza zaidi ya walio nao hivi sasa, manake tutashindwa kujiexpress nao kirahisi. Na bado hatujapata products za shule za Lowassa (Sekondari za kata), hapo ndipo tutazidi pata burdani nzuri zaidi.
teh teh..kweli kaka..shule za kata zikishaanza gombea umic itakuwa balaa tupu..