Miss Kanda ya ziwa 2009

Yo Yo

JF-Expert Member
May 31, 2008
11,217
1,702
Kwa hishma na taadhima naomba wana JF niweke sura za walimbwende wakali wanaowania miss kanda ya ziwa.....
attachment.php

Amina adam mwanza

attachment.php


edna clement shy town
attachment.php


edna clement shy town majina sawa?
attachment.php

grace francis mwanza

attachment.php


glory innocence
attachment.php


lisa george shinyanga
attachment.php


Miriam gerad mwanza....mhh
attachment.php


mary joseph mara
attachment.php


mariam mwita mara
attachment.php


sabina budodi mara
attachment.php


witness justin kagera

ubarikiwe saaaana aliepiga these pics na dada florah wa FLORAH TALENT PROMOTION : flauwo@yahoo.com Mungu awazidishie..
 

Attachments

  • ad.JPG
    ad.JPG
    8.5 KB · Views: 1,579
  • ec.JPG
    ec.JPG
    8.1 KB · Views: 1,519
  • ed.JPG
    ed.JPG
    5.8 KB · Views: 1,531
  • gf.JPG
    gf.JPG
    7.5 KB · Views: 1,530
  • gi.JPG
    gi.JPG
    8.6 KB · Views: 1,496
  • sb.JPG
    sb.JPG
    7.8 KB · Views: 1,468
  • mm.JPG
    mm.JPG
    7.2 KB · Views: 1,456
  • mj.JPG
    mj.JPG
    15.3 KB · Views: 1,491
  • mg.JPG
    mg.JPG
    8.6 KB · Views: 1,543
  • lg.JPG
    lg.JPG
    8.4 KB · Views: 1,476
  • wj.JPG
    wj.JPG
    10 KB · Views: 1,456
Kura yangi ni kwa huyo wa kwanza...anaitwa amina adam nadhani....ila kwa mambo yetu yale.....kuna huyo miriam...sidhani kama mapedegee watamwacha....
 
Huyo wa bukoba na Mara ohh Have mercy....Jamani leo wahaya wameshidwa changua vitu katika vitu?Basi huyo hata ten bora hakuna...inafanyika lini hiyo.
 
Huyo wa bukoba na Mara ohh Have mercy....Jamani leo wahaya wameshidwa changua vitu katika vitu?Basi huyo hata ten bora hakuna...inafanyika lini hiyo.

hahahaa mkuu nadhani wale 'wenyewe' wapo darisalama!
 
aaah nataka nijuwe taratibu za kuwa jaji wa miss tanzania......

attachment.php


Thanks God liyumba yuko sero......kuna mwana JF yeyote yuko mwanza? ani PM tafadhali
 

Attachments

  • IMG_0925.jpg
    IMG_0925.jpg
    98.8 KB · Views: 3,402
aaah nataka nijuwe taratibu za kuwa jaji wa miss tanzania......



Thanks God liyumba yuko sero......kuna mwana JF yeyote yuko mwanza? ani PM tafadhali

Papaaa Yo Yo .....wewe si ulikata shauri na kumgeukia sir God juzijuzi hapa? vipi tena bana......? uzalendo umekushinda eeehhh!
 
Papaaa Yo Yo .....wewe si ulikata shauri na kumgeukia sir God juzijuzi hapa? vipi tena bana......? uzalendo umekushinda eeehhh!
Mkuu nimekosea wapi kwani? nasifia uumbaji wa Mungu.....Mungu kasema tupendane nami nawapenda nyoote including hawa mamiss hasa huyo miss mwanza Miriam Gerard......mkuu next level upo mwanza?
 
IMG_0699+2.JPG


Kumbe huyu ndo alishinda Miss Mwanza mwaka huu....no wonder. Picha kwa hisani ya dada Flora Lauwo
IMG_0699%2B2.JPG
IMG_0699+2.JPG
 
Hapana mkuu Yoyo..lakini shindano ni tarehe 7/8, wahi tiketi mapema!
IMG_0699%2B2.JPG
IMG_0699+2.JPG
 
Hapana mkuu Yoyo..lakini shindano ni tarehe 7/8, wahi tiketi mapema!
IMG_0699%2B2.JPG
IMG_0699+2.JPG
na hawa mamiss wameweka kambi hotel gani? nataka kutoa zawadi personally kama Yo Yo wa JF kwa mshirika mwenye kipaji.....
 
Dah..kumbe na sisi kanda ya ziwa hatuvumi lakini tumo....lol...hope hawa wataendeleza yale mafanikio ya Nasreem
 
Mkuu nimekosea wapi kwani? nasifia uumbaji wa Mungu.....Mungu kasema tupendane nami nawapenda nyoote including hawa mamiss hasa huyo miss mwanza Miriam Gerard......mkuu next level upo mwanza?
Hapana hujakosea mpwa,sema tatizo jamaa anafikiri ukiokoka hairuhusiwi kumsifia Muumba kwa kazi nzuri aliyoifanya,bora wewe umekuwa muwazi kwa kumtukuza Muumba hadharani kwa kazi nzuri aliyoifanya kuwatengeneza wanyange hawa...watoto ni wazuri si haba...Asante kwa picha mpwa
 
aaah nataka nijuwe taratibu za kuwa jaji wa miss tanzania......

attachment.php


Thanks God liyumba yuko sero......kuna mwana JF yeyote yuko mwanza? ani PM tafadhali
Sifa na pongezi zote zimuendee Muumba kwa kazi nzuri aliyoifanya jamani
 
Sifa na pongezi zote zimuendee Muumba kwa kazi nzuri aliyoifanya jamani
naenda mwanza kuangalia fursa za uwekezaji nikipata nafasi naweza kuwatembelea walimbwende kambini kwao......je wapo hotel gani?

nina wasi wasi watu kama nyani ngabu wataitumia hii picha ndivyo sivyo kujiridhisha....
 
Back
Top Bottom