boma2000
JF-Expert Member
- Oct 18, 2009
- 3,280
- 310
Wacheni Dharau hivo.. Inshort huyu aliyevaa hivi
AMEPENDEZA ZAIDI
KULIKO HUYU ALIYEJIANIKA UCHI
Hiyo ni kulingana na mawazo yako tu si kwa wote maana kila mtu ana mawazo na mtazamo wake
Wacheni Dharau hivo.. Inshort huyu aliyevaa hivi
AMEPENDEZA ZAIDI
KULIKO HUYU ALIYEJIANIKA UCHI
Ujinga wao tu, halafu eti BIKRA mpaka NDOA, kumbe ubikra wa MBELE tu, kwani uwani ni HALAAL. hapo mimi wananiacha hoi waarabu na ndugu zao.
Hata kama atakukubali utachukua muda mrefu sana kumfunua huyo wa juu kuliko wa chini,na kilichokukasilisha hapo ww ni nn,vaa mavazi ya huyo mic wa juu na vaa mavazi ya huyo wa chini pita kariakoo utajua nani yupo uchi na nani kavaa nguo,or chukua picha ya huyo wa juu na huyo wa chini muoneshe mwanao muulize yupi yupo uchi na yupi kavaa utapata jibu
IRAN, nawasifu kupiga marukuku mashindano haya ya wanawake kukaa uchi, kingine hii picha imetengenezwa makusudi
hata kama atakukubali utachukua muda mrefu sana kumfunua huyo wa juu kuliko wa chini,na kilichokukasilisha hapo ww ni nn,vaa mavazi ya huyo mic wa juu na vaa mavazi ya huyo wa chini pita kariakoo utajua nani yupo uchi na nani kavaa nguo,or chukua picha ya huyo wa juu na huyo wa chini muoneshe mwanao muulize yupi yupo uchi na yupi kavaa utapata jibu
Ujinga wao tu, halafu eti BIKRA mpaka NDOA, kumbe ubikra wa MBELE tu, kwani uwani ni HALAAL. hapo mimi wananiacha hoi waarabu na ndugu zao.
Upi huo sasa, wa dada wa juu kujiheshimu au wa chini tangazo?Ujinga wao tu,
Ungeliongea hili kwenye jukwaa la dini, ungalipata majibu mazuri.halafu eti BIKRA mpaka NDOA,
Nani huyo aliyekuhalalishia? Au ni stereotype tu? Maana tunaweza tukaku-streotype hata wewe pia.kumbe ubikra wa MBELE tu, kwani uwani ni HALAAL
Unajua hata wewe pia ni ndugu yao, ama ulikuwa hulijui hilo? Unatumia sehemu ya lugha yao hapa.<!-- google_ad_section_end -->hapo mimi wananiacha hoi waarabu na ndugu zao
Ujinga wao tu, halafu eti BIKRA mpaka NDOA, kumbe ubikra wa MBELE tu, kwani uwani ni HALAAL. hapo mimi wananiacha hoi waarabu na ndugu zao.
mie nikivaa baibui huwa sivai chupi. Maana kuna joto sio mchezo ndani ya baibui. Kwa hiyo kama huyo wa juu nafanya kama mie basi huenda ni rahisi kumvua alievaa baibui
umechemka mkuu, acha hasira
Huo udhaifu wako ww aina maana mapungufu yako yawe ya kila mtu,kama ww kila anayekutongoza unamkubalia hayo ni matatizo yako ww na sio wanawake wote.mie nikivaa baibui huwa sivai chupi. Maana kuna joto sio mchezo ndani ya baibui. Kwa hiyo kama huyo wa juu nafanya kama mie basi huenda ni rahisi kumvua alievaa baibui
Ww umekalilishwa na ujui unacho comment,umevamia tren kwa mbele,kwa macho yako uwezi ona huyo yupo uchi kweli mwenye macho hataona na mwenye mackio hatackia,sijui unatetea nn,na unafaidi nn kwa hilo,usitumie access yako kupotosha kwani kesho kwa mungu utaulizwa kila neema ayokupa uliitumiaje,usifuate mkumbondugu punguza pumba basi....angalia huyo unayedai yuko uchi,yupo kwenye mazingira gani??na huyo unayedai kavaa ngua yupo mazingira gani?completely different!! Sasa ,mavazi ya beach aende nayo kariakoo ye kawa chizi??same way huyo suni aende beach na kaniki zake uone itakuwaje,hope kila mtu atamshangaa!! Huyo suni ukiangalia vizuri chini kuna kapet...so huenda yupo kwenye engagement funtion, hawezi vaa bikini hapo!!
Wacheni Dharau hivo.. Inshort huyu aliyevaa hivi
AMEPENDEZA ZAIDI
KULIKO HUYU ALIYEJIANIKA UCHI
Ningelikuwa mimi Hakim ningelimchagua huyo miss Iran kuwa ndie Bingwa wao wote hao hahahahahahahah kali sana hiii
Photoshop LIVE!..