Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
mashindano ya umiss yapo kila chuo kwa sasa......ila nilicho mind mie ni hawa washiriki hawajatuakuna kifaa sombody yassin ilibidi kiwepo hapo....wow so IFM siku hizi Hakuna kusoma tena bali ni kuonyeshana miili yao?....
Mmh belindaJ!....I guess siku Institute of finance management imekuwa institute of female modeling...duuh!.....
wow so IFM siku hizi Hakuna kusoma tena bali ni kuonyeshana miili yao?....
Mmh belindaJ!....I guess siku Institute of finance management imekuwa institute of female modeling...duuh!.....
Nitakuwepo.......
Kelly we acha tu, naona ni mchanganyiko wa vyote (kazi na dawa)!
Elimu ya siku hizi raha na starehe pembeni,ushindwe wewe tu. Pia kuna vyuo vingine wanafanya mashindano hayo.
huyu Yo yo anasema mambo ya umiss yapo kila shule mbona sijaona huku state mambo kama hayo unless miye nimesoma shule ambazo hazijui starehe za hivyo.....
tatizo bongo huko wao shule ndiyo sehemu ya ngono...IFM ya sasa hivi i guess siyo kama ya enzi zile BelindaJ!.....You knwo what i am saying?.ndiyo maana kulikuwa na minimal discontinue....
huyu Yo yo anasema mambo ya umiss yapo kila shule mbona sijaona huku state mambo kama hayo unless miye nimesoma shule ambazo hazijui starehe za hivyo.....
tatizo bongo huko wao shule ndiyo sehemu ya ngono...IFM ya sasa hivi i guess siyo kama ya enzi zile BelindaJ!.....You knwo what i am saying?.ndiyo maana kulikuwa na minimal discontinue....
wewe umesoma IFM ipi wewe? kozi gani......huyu Yo yo anasema mambo ya umiss yapo kila shule mbona sijaona huku state mambo kama hayo unless miye nimesoma shule ambazo hazijui starehe za hivyo.....
tatizo bongo huko wao shule ndiyo sehemu ya ngono...IFM ya sasa hivi i guess siyo kama ya enzi zile BelindaJ!.....You knwo what i am saying?.ndiyo maana kulikuwa na minimal discontinue....
aah nyie bana mmesoma lini? miaka ya 80? IFM iko vile vile haijabadilika kitu zaidi ya majengo kupigwa rangi mpya.....Labda vyuo kadhaa vya Tz kama UD na Saut na IFM sasa imeingia.
Kelly mambo yamebadilika, IFM ya wakati ule siyo kama ya sasa kuanzia elimu yenyewe mpaka mambo kadhaa ambayo tunayasikia yakitoke na kuzidi kwa kasi.
Umesoma wapi wewe? Hakukuwa na homecoming king na queen huko ulikosoma?
Labda vyuo kadhaa vya Tz kama UD na Saut na IFM sasa imeingia.
Kelly mambo yamebadilika, IFM ya wakati ule siyo kama ya sasa kuanzia elimu yenyewe mpaka mambo kadhaa ambayo tunayasikia yakitoke na kuzidi kwa kasi.
huwezi kunifanya nitembee na bikini miye and then what?
yo yo see ndiyo maana tunatifautiaana kimaadili...hata kama miye na belinda tumesoma miaka ya 80 lakini tuna more moral and value comapared to now..huwezi kunifanya nitembee na bikini miye and then what?