n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,006
- 2,667
Read these stories:
Title: Miss East Africa 2009 LIVE in Tanzania
When: 18.12.2009 - 19.12.2009
Where: Mlimani City - Dar-es-salaam
Miss East Africa 2009 will be held at the Mlimani City Complex in Dar es Salaam.
28 girls from 14 regions will contest the title. They will come from Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Somalia, Ethiopia, Eritrea, Djibouti, Comoro, Seychelles, Madagascar, Reunion, Mauritius and hosts Tanzania.
The lucky winner will get a Range Rover Vogue Sport worth 165,000 US dollars (about 200m/-), from CMC Automobile.
=========================
Title: Miss East Africa 2009 LIVE in Tanzania
When: 18.12.2009 - 19.12.2009
Where: Mlimani City - Dar-es-salaam
Miss East Africa 2009 will be held at the Mlimani City Complex in Dar es Salaam.
28 girls from 14 regions will contest the title. They will come from Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Somalia, Ethiopia, Eritrea, Djibouti, Comoro, Seychelles, Madagascar, Reunion, Mauritius and hosts Tanzania.
The lucky winner will get a Range Rover Vogue Sport worth 165,000 US dollars (about 200m/-), from CMC Automobile.
=========================
CAPTION: Mkurugenzi wa Lena Event Lena Calist akizungumza na wanahabari katika mkutano uliofanyika kwenye Hoteli ya Kilimanjaro Kempinski August 9, 2009 wakati wa uzinduzi rasmi wa bahati nasibu ya Miss East Africa ambapo gari aina ya Range Vogue Sports litashindaniwa
CAPTION: Mkurugenzi wa Lena Event inayoandaa Miss East Africa Lena Calist akionyesha gari aina ya Range Vogue Sport lenye thamani ya dola za Kimarekani 165.000 litakaloshindaniwa katika bahati nasibu ya Miss East Africa iatakayoanza kesho mpaka siku ya fainali ya Miss EastAfrica itakayofanyika desema 18 2009 jijini Dar es salaam, Lena ameongeza kwamba ili kucheza bahati nasibu hiyo utatakiwa kununua tiketi kwa shilingi 1000 au kucheza kupitia simu ya mkononi kwa mitandao yote ukituma neno SHINDA kwenda namba 15567 kwa shilingi 1000 na kujipatia nafasi zaidi ya kushinda zawadi hiyo ya Gari,wengine waliopo katika picha ni Foti Gwebe Nyirenda Mshauri wa Mauzo CMC Motors na katikati ni Miss East Africa namba mbili mwaka 2008 Annete John
Gakwaya says, "We shall field the best two from Rwanda for finals in Dar Es Salaam ." This year, Miss East Africa will walk away with a prize of Range Rover, worth US$165,000 on December 19.
CAPTION: Mkurugenzi wa Lena Event Lena Calist akizungumza na wanahabari katika mkutano uliofanyika kwenye Hoteli ya Kilimanjaro Kempinski August 9, 2009 wakati wa uzinduzi rasmi wa bahati nasibu ya Miss East Africa ambapo gari aina ya Range Vogue Sports litashindaniwa
CAPTION: Mkurugenzi wa Lena Event inayoandaa Miss East Africa Lena Calist akionyesha gari aina ya Range Vogue Sport lenye thamani ya dola za Kimarekani 165.000 litakaloshindaniwa katika bahati nasibu ya Miss East Africa iatakayoanza kesho mpaka siku ya fainali ya Miss EastAfrica itakayofanyika desema 18 2009 jijini Dar es salaam, Lena ameongeza kwamba ili kucheza bahati nasibu hiyo utatakiwa kununua tiketi kwa shilingi 1000 au kucheza kupitia simu ya mkononi kwa mitandao yote ukituma neno SHINDA kwenda namba 15567 kwa shilingi 1000 na kujipatia nafasi zaidi ya kushinda zawadi hiyo ya Gari,wengine waliopo katika picha ni Foti Gwebe Nyirenda Mshauri wa Mauzo CMC Motors na katikati ni Miss East Africa namba mbili mwaka 2008 Annete John
Angalia, dhamira yangu ni njema sana, mimi ni mpenda ukweli na muwazi, wizi wa wazi kwa watanzania wakati Gaming Board ipo na inaukalia wazi wizi wa namna hii inakera SANA. Hatutokaa kimya, ahsante JF kwa kutupa uwanja wa kutoa uwazi wa mambo haya, naendelea zaidi chini kuuanika uwizi wa jamaa hawa...
Read the news:
Kwenye gazeti la Oktoba 18 la Citizen wanaendelea kujinadi tu:Read the news:
Gakwaya says, "We shall field the best two from Rwanda for finals in Dar Es Salaam ." This year, Miss East Africa will walk away with a prize of Range Rover, worth US$165,000 on December 19.
Lakini Disemba 16 angalia kwenye Daily News walichoongea mbele za waandishi wa habari:
Chairman of the organizing committee, Rena Calist told reporters today that the winner would drive home a Toyota Celica sports car worth over 30m/- plus a one-year contract with the company valued at 50,000 US dollars (about 60m/-).
Thats:
Warembo wanaoshiriki kwenye shindano la Miss East Afrika linalotarajiwa kufanyika desema 18 kwenye ukumbi wa Mlimani City wakiwa wamepozi pembeni mwa gari la zawadi ya mshindi wa shindano hilo aina ya Toyota Celica Sports kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach and Resort.
Chairman of the organizing committee, Rena Calist told reporters today that the winner would drive home a Toyota Celica sports car worth over 30m/- plus a one-year contract with the company valued at 50,000 US dollars (about 60m/-).
Thats:
Warembo wanaoshiriki kwenye shindano la Miss East Afrika linalotarajiwa kufanyika desema 18 kwenye ukumbi wa Mlimani City wakiwa wamepozi pembeni mwa gari la zawadi ya mshindi wa shindano hilo aina ya Toyota Celica Sports kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach and Resort.
Nadhani nina matatizo ya ubongo wakuu, au nachanganya madawa????