apolycaripto
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 644
- 225
Vugu vugu la kuwang'oa viongozi katika Misri na Tunisia kulitokana na sababu lukuki lakini moja wapo ilikuwa njaa kali.Tumekua tukichangiahumu na kuisifia Libya kuwa watu wake wanamaisha mazuri.Kipindi kimoja kilirushwa ITV kikielezea the beau
ty of LIbya huku ikilinganishwa na Tanzania tulivyo hoi.Je maandamano tena ya walibya kumuondoa Kanal Muamar Gadaffi tuseme nini?Source:TBC News saa 2usiku.
ty of LIbya huku ikilinganishwa na Tanzania tulivyo hoi.Je maandamano tena ya walibya kumuondoa Kanal Muamar Gadaffi tuseme nini?Source:TBC News saa 2usiku.