Mishkaki ya paka...

jacobae

Member
Oct 29, 2007
68
1
Kuna jamaa amejinadi anauza mishkaki ya paka na kuiuza Tsh 50 ila yeye na familia yake hawatumii. Kwa siku anachinja hadi paka wanne!!! Je kwa kufanya hivyo amevunja sheria yoyote? Nisaidieni wangwana.
 
Back
Top Bottom