Kuna jamaa amejinadi anauza mishkaki ya paka na kuiuza Tsh 50 ila yeye na familia yake hawatumii. Kwa siku anachinja hadi paka wanne!!! Je kwa kufanya hivyo amevunja sheria yoyote? Nisaidieni wangwana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.