T tizo1 JF-Expert Member Mar 9, 2011 856 145 Dec 10, 2011 #1 Niliwekewa drip takriban wiki sasa.Cha ajabu kuanzia nyuma ya mkono mpaka juu ya mkono mshipa wote umekuwa mgumu sanaaa,pia unauma.MSAADA Please!
Niliwekewa drip takriban wiki sasa.Cha ajabu kuanzia nyuma ya mkono mpaka juu ya mkono mshipa wote umekuwa mgumu sanaaa,pia unauma.MSAADA Please!
N Navoyne JF-Expert Member Dec 12, 2010 874 373 Dec 10, 2011 #2 Waliokuwekea umewaambia hilo tatizo..............Pia jaribu kwenda hospitali kubwa kaonane na madaktari wazoefu.
Waliokuwekea umewaambia hilo tatizo..............Pia jaribu kwenda hospitali kubwa kaonane na madaktari wazoefu.
T tizo1 JF-Expert Member Mar 9, 2011 856 145 Dec 10, 2011 Thread starter #3 Navoyne said: Waliokuwekea umewaambia hilo tatizo..............Pia jaribu kwenda hospitali kubwa kaonane na madaktari wazoefu. Click to expand... siku hiz yupo wa kumlalamikia?ni wakali wakal tu.Nashukuru kwa ushauri nitaufanyia kazi!
Navoyne said: Waliokuwekea umewaambia hilo tatizo..............Pia jaribu kwenda hospitali kubwa kaonane na madaktari wazoefu. Click to expand... siku hiz yupo wa kumlalamikia?ni wakali wakal tu.Nashukuru kwa ushauri nitaufanyia kazi!