Nipo hapa tabata chama, mbona sioni hio foleni..au jina lilisha kufa?Mishikaki ya kwa Mfojo huko Tabata imekuwa gumzo. Watu wanaisifia sana na Juzi Mfojo mwenyewe alikuwepo radioni Clouds na kasema anauza hadi kilo 200 kwa siku.
Jamani wenye ushuhuda na utamu wa mishikaki hiyo atuelekeze huyo Mfojo anapatikana Tabata ipi ili nasisi wengine tukaionje this weekend
Post ni ya mwaka 2011, miaka 12 nyuma wee unakuja ku comment leo🐵🐵🐵Nipo hapa tabata chama, mbona sioni hio foleni..au jina lilisha kufa?
Naikumbuka hii post aiseePost ni ya mwaka 2011, miaka 12 nyuma wee unakuja ku comment leo🐵🐵🐵