Nakumbuka kuna jamaa flani kibaha alikuwa anauza mahindi.
kuna siku mbwa aligongwa na gari akafa, ghafla jioni yake yule bwana akabadili biashara badala ya kuuza mahindi akauza mishikaki.
Wananchi hawakumwelewa.
huwezi kufananisha hivyo vitu viwili
yule ni mwongo kwa sababu aliulizwa familia yako inajua kwamba unafanya shuguli hizo ie unachinja na kupika mishkaki ya paka akasema ndio.. nasomesha watoto wanne shule kwa kazi hiyo
akaulizwa; je wewe na familia yako mnakula hiyo nyama... akazunguka mwisho akasema hapana, hata hawajui kwamba nafanya kazi hiyo....
why contradict yourself???
mtu wa wapi eti mpogolo ukimsikiklliza anaonekana mmakonde
Is this true??????????????????????? Or my lord!!! Ni mburahati ipi maana kuna kipindi nilikuwa naenda kwa mshkaji wangu anakaa mburahati bondeni. Ikawa tunatoka na kwenda kula mishkaki maeneo ya kijiweni.....ni wapi huyu jamaa alikuwa???
Is this true??????????????????????? Or my lord!!! Ni mburahati ipi maana kuna kipindi nilikuwa naenda kwa mshkaji wangu anakaa mburahati bondeni. Ikawa tunatoka na kwenda kula mishkaki maeneo ya kijiweni.....ni wapi huyu jamaa alikuwa???
lakini kwakuwa hakuna aliyedhulika miaka yote hiyo basi acha tule tuuuuuuuuuuu nyama yenyewe buchani haishikiki siku hizi.......:washing:
huwezi kufananisha hivyo vitu viwili
yule ni mwongo kwa sababu aliulizwa familia yako inajua kwamba unafanya shuguli hizo ie unachinja na kupika mishkaki ya paka akasema ndio.. nasomesha watoto wanne shule kwa kazi hiyo
akaulizwa; je wewe na familia yako mnakula hiyo nyama... akazunguka mwisho akasema hapana, hata hawajui kwamba nafanya kazi hiyo....
why contradict yourself???
mtu wa wapi eti mpogolo ukimsikiklliza anaonekana mmakonde
Mlio sikiliza power breakfast Leo najua Mmeipata vizuri.
Jamaa mburahati kauza mishkak ya paka for the last four years!
Amekiri kwa siku anauza paka wanne na kuendelea.
Hivi huyu jamaa hawezi chukuliwa hatua zozote za kisheria?
Jamni hii inasikitisha!!
Hii inaonesha ana wateja wengi...
wabongo tuna uchu sana wa nyama ndo maana tunalishwa vitu vya ajabu.ndugu pole sana labda huyo n 1 wa 100 wanaouza hizo bidhaa..kama umekula nyama za afrikasana pale sinza pole sana sana sana na nakushauri ukimbilie kwa babu kama bado aijafukuta sumu yake
Hakusema ni Mburahati wapi cuz hata jina lake hakusema ila unalo. Huwezi kukumbuka kidogo ukivuta hisia hiyo mishkaki ina taste aje...lol
Mwisho mtakula vinyesi na kudai havidhuru!!jamaa huyu ni mbunifu, nenda DRC wanakula nyama ya paka hadharani tu, kwani kuna aliyedhurika, watanzania tuache kudeka kwenye vyakula, ajaribu na vyura watakula tu