SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
Belo,
Hiyo "Avanta" vipi? Tevez keshahamia Man City. Au na wewe umebadilisha TIMU?
.........
Belo,
Hiyo "Avanta" vipi? Tevez keshahamia Man City. Au na wewe umebadilisha TIMU?
Pengine si mfanyakazi wa Serikali. Mwaka jana na nyuma kote Bunge likikuwa likiishia mwisho wa mwezi wa nane na watu wakilipwa mishahara kabla ya kusomwa kwa bajeti ya wizara ya Fedha.Jamani bajeti ya wizara ya fedha imepita lini? mishahara serikalini haiwezi kulipwa kabla bajeti ya wizara hiyo haijapitishwa na mara nyingi wizara hii inakuwa ya mwisho mwisho
Tunacho hoji ni kwamba inakuwaje maagiza ya Rais yanakiukwa bila hata wafanyakazi husika kupewa taarifa yeyote?Itakumbukwa kwamba Rais alishaagiza ifikapo tarehe 23 ya kila mwezi wafanyakazi wawe wameshapata mishahara yao.Akaongeza kwamba kama itakuwa lazima kucheweshewa mishahara yao,basi isizidi tarehe 25 ya kila mwezi.