geofreyngaga
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 641
- 911
Ni Rais wa Bolivia SIO Uruguay.Anaitwa Evo Morales.Huyu amepiga panga mshahara wake ili iingie kwenye miradi ya maendeleo.
Ni Jos? mujica raisi wa Uruguay amekata mshahara wake by 90%(usd12,000 per month) anachangia masikini anabakiwa na usd1,250 Kwa mwez na ana-drive bito anaishi shamba na mke wake. So madugu Mr is right.