Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,832
- 95,749
Kila kitu wanapewa bure sa mshahara wa nini? Wangefuta mishahara ya marais hata hii tabia ya viongozi wa kiafrika kung'ang'ania madaraka ingeisha.
Wafanye kazi bure kisha muda ukiisha wawe wanapewa asante kulingana na kazi waliyofanya walipokuwa madarakani
Wafanye kazi bure kisha muda ukiisha wawe wanapewa asante kulingana na kazi waliyofanya walipokuwa madarakani