Mishahara ya serikali?

Uclas = 7 years ( Std I-VII) + 4 years ( Form I -IV) + 2 years ( Form V -VI) +4 years( Bachelor's degree)=17 years, Hata kiswahili kuandika ni shida. Kazi ipo!!!

Huyu nitapeli tu na wala siyo mtanzania maana hicho kiswahili sicho kabisa na shule zetu za kata a.k.a yeboyebo zisizo na vitabu,walimu,maabara nk.hazijafikisha hiyo miaka 17 bado
 
mascre, thanx a lot kwa ushauri wako mzuri kaka mungu akubaliki. unajuwa kuelimisha mutu.
 
Lliatuwa ni lirundi au likongo hili jamaa maana linaonekana limeandika kitu lisichokijua
 
we chaka kweli ata akili una inaonesha mudomo unalia na unatolea uchafu. acha majungu we kama una cha kuandika si lazima kuundika kitu chochote. koma tena plz plz

Mkuu, nafahamu umekasirika sana, lakini hata hivyo jitahidi basi manake hata ulichoandika hapo juu ni kinyume na vile unavyodhani!! sehemu moja umesema ......akili una...! hapo unadhani umemtoa akili kumbe umempa gwala!!! unapochanganya "una" na "huna" ni sawa na kusema mwanamke huku ukiamini unasema mwanaume!!! next time, don' say:
"una cha kuandika" say "huna cha kuandika", don't say
"una akili", say "huna akili".....usiwe mkaali unapotaka kujifunza, lazima ukubali kwamba una matatizo ya ku-drop "h" sehemu nyingi sana!
 
naomba msaada kwa yeyote mwenye ufaamu kuusu ili plz. TGSS 12, NI SAWA NA SHILINGI NGAPI NGAZI YA MUSHAARA WA SERIKALI?

sawa wa kuu, mi nimesoma chuo KIKUU UCLUS/ARDHI, nina 1st degree je, mushara wa kuangia ni ngazi gani pia ni sawa na t.shilingi ngapi?, plz naomba mchanganuo, niayo tu but apa tunaelimishana kisera not otherwise!

we chaka kweli ata akili una inaonesha mudomo unalia na unatolea uchafu. acha majungu we kama una cha kuandika si lazima kuundika kitu chochote. koma tena plz plz


Kama vyuo vyetu ndio vimeanza kutoa wahitimu wa aina hii? Hili sasa ni janga la taifa.
 
ndio maana national service inataka kurudishwa,ntakutafuta waanze na wewe!ndio kwanza umetoka chuoni,badala ya kupiga kazi unaulizia mishahara na bado unaelimishwa kuhusu lugha yako unakuwa mbishi kama mshipa.
 
Uclas = 7 years ( Std I-VII) + 4 years ( Form I -IV) + 2 years ( Form V -VI) +4 years( Bachelor's degree)=17 years, Hata kiswahili kuandika ni shida. Kazi ipo!!!
mwenyewe nimeliona hilo hakika ni tatizo, si kiswahili pekee hata kiingereza hakijui, kuna jamaa kasema kweli huyo atakuwa la saba anafuatilia mshahara wa anayemdai
 
Uclas = 7 years ( Std I-VII) + 4 years ( Form I -IV) + 2 years ( Form V -VI) +4 years( Bachelor's degree)=17 years, Hata kiswahili kuandika ni shida. Kazi ipo!!!

labda hiyo UCLUS ya burundi!!!!na huenda congo "kuhusu"= "kuusu!!!"aluuu!niayo au ni hayo,anyway tumekusoma mkuu. naamini utaufahamu mshahara wa huyo unaye mpeleleza!!!
 
Back
Top Bottom