Mishahara ya mwezi Februari itatoka lini?serikali mbona inatudhalilisha watumishi wake?

Nilishawahi andika humu 'hazina ya serikali imekauka' watu wakanikebehi hapa! Nasahivi serikali haiwezi kufanya jambo mpaka upige kelele.

shiiiiiiiiiii!!!! pesa imeende Arumeru subiri baada ya uchaguzi!!!
 
Rafiki yangu wa UDSM kaingia mgomo tangu juzi walipoambiwa Hundi haijafika toka Hazina Lol!!!!
 
Ajabu sana, wengine tumeashamaliza pesa yote ya mshahara wengine wanasubiri tarehe 5/3
 
Mjomba bandiko lako limenisikitisha sana!:embarassed2:
Poleni sana kama hamjashikishwa hadi leo...wakiendelea hadi mwisho wa wiki dawa mgomo tu kama madaktari!

Taarifa zinaweka wazi baadhi ya taasisi hasa majesheni jana wamepata mshahara. Walimu nao leo na kesho kitakuwa kimeeleweka.
 
Ina maana we unaishi kwa kutegemea mshahara tu? imeandikwa mtu hataishi kwa mkate tu mkuu!

Hahahaha kila mtu akianza kuishi kwa keki na mkate hii nchi haitakalika. Si unaona hao wachache wanaoishi kwa keki wanavyotupeleka puta.
 
jana jioni mwenye dhamana ya mishahara udom, katoa barua ya kusema hajapokea fedha yoyote kutoka hazina kwa hiyo hakuna mshahara mpaka atakapo pata fedha, sio kosa lake kasema ukweli mimi nalia na mkuu wa kaya j.k.

Mbona mnatudhalilisha mjini hapa? Sijui tasisi nyingine za serikali kama wamelipwa ila hapa matangazo yameshatoka kuwa mpunga haujaingia kutoka serikalini.

Tunaishije mjini hapa?spika makinda anna anajua vizuri ugumu wa maisha dodoma ndio maana anakomalia posho,sasa tusiokuwa na posho na tunaishi dodoma miaka yote tunafanyeje?hali mbaya!!!!!!!!
urbanization rate is too high now days,mpaka mabushman wanaishi mjini!something must be done to curb this problem.
 
SIo UDOM tu mkuu hata DUCE nako bado hawajacheka

So does MUCE.
The situation is even worse from month to month, ufisadi kwa kwenda mbele.
Prof. Mushi(principal), Prof. Mrema(dp-ac), Prof. Machiwa(dp-adm) pamoja na Francis Kiama(mhasibu) in collaboration with the government wanatesa sana wafanyakaz wa MUCE.
Wacha niishie hapa na machungu yangu kwa leo.
 
Jana jioni mwenye dhamana ya mishahara udom, katoa barua ya kusema hajapokea fedha yoyote kutoka hazina kwa hiyo hakuna mshahara mpaka atakapo pata fedha, sio kosa lake kasema ukweli mimi nalia na mkuu wa kaya j.k.

Mbona mnatudhalilisha mjini hapa? Sijui tasisi nyingine za serikali kama wamelipwa ila hapa matangazo yameshatoka kuwa mpunga haujaingia kutoka serikalini.

Tunaishije mjini hapa?spika makinda anna anajua vizuri ugumu wa maisha dodoma ndio maana anakomalia posho,sasa tusiokuwa na posho na tunaishi dodoma miaka yote tunafanyeje?hali mbaya!!!!!!!!
Aisee, hii nchi inafika mahali pabaya sana sasa
 
urbanization rate is too high now days,mpaka mabushman wanaishi mjini!something must be done to curb this problem.

hahahahahahahahahahahahahhahahahaha,mkuu mbona unaacha kujadili hoja unajadili id,hilo unalotaka kulizungumzia kuna watu wameshafanya research za kutosha tu,linatakiwa mjadala wa peke yake mzee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kuliko Serikali kuwa na idadi kubwa ya wafanyakazi isiyoweza kuwalipa kwanini wasifanye uchambuzi yakinifu kujua mahitaji halisi kwa kazi zilizopo na wengine waje huku sekta binafsi? Sera ya "full employment" haifanyi kazi kwenye uchumi huria kwanza inakandamiza ukuaji wa sekta binafsi.

Ukifuatilia sana serikalini wamejaza wasomi na hawana kazi zinazoendana na visomo vyao hivyo wangewekwa kando (jobless) wangejitambua na kutumia visomo vyao kuinua pato la taifa.
 
Wasambaa wanasema EKADU, hata SUA wakuu hali si shwari, maana wafanyakazi wa nchi hii wanaonekana ******* na wajanja ni wafanyabiashara tu, kweli kusoma si kupata utajiti, kwa Tanzania "SOMA UTESEKE NA DUNIA IJAYO".Kidumu CHAMA.:poa
 
Najuta kuwa mtanzania na hasa kuongozwa na JK,amesababisha sa hv nijifungie ndani tu,maana hali ni mbaya kwa wanaoielewa Dodoma......
 
Back
Top Bottom