mishahara ya mwananchi communications limited

Maimai

Senior Member
Nov 1, 2010
174
4
wakuu, media tena. Sasa nina nyeti kwamba ukiyaona ya firauni utashangaa ya musa. Mwananchi communications limited nako kuna mambo ya ubaguzi katika mishahara baina ya watanzanyika na wakenia. Utakuta mtu mko idara moja the same job Mkenya milioni 10 mtanzania milioni moja,. Nasikia kuna mkenya mmoja anaitwa. Agunda alikuwa consulting editor kaondoka na mafao ya milioni 120 just three years wakati mzee makunga mtanzania mwnzilishi hatapata hata nusu yake kwa miaka kumi na kitu aliyotumikia pale. Du media zetu taabu kweli kweli. Kuna mkenya ,mwingine tom mosoba aliyeforge vyeti vya kuzaliwa na kujiita mtanzania naye analipwa zaidi hata ya wahariri waandamizi. Another media house to come.....bongoleaks
 
naomba urudi kufanya utafiti wako tena. Ninachokifahamu pale Mwananchi ni kuwa kuna kitu kama scheme of service ambayo ndiyo inatumika kupanga mishahara. Itakwua ni ajabu kama huyo Tom atawazidi wahariri wengine. kama unazungumzia posho, hilo ni jambo jingine na sidhani kama ni sawa kulilinganisha na mishahara.
Tom ni Mkenya? Kwa bahati mbaya namfahamu huyu jamaa, nimeshawahi kufika kijijini kwao huiko Tarime na kwa ufahamu wangu Tarime ni wilaya ya mkoa wa mara uliopo Tanzania.
 
Haya sasa, mmeshaanza kuruka na kukanyagana!!!!
Mimi nilijua NYINGI ya hizi sekta "binafsi" mambo ya mishahara na marupurupu ni bagaining ya mwajiriwa na mwajir: na bahati mbaya watz ni wepesi wa kuomba discount dukani na wazito wa kubagain mshahara na mwajiri!!!
 
ni kampuni ya wakenya na ndio ambao hufaidi zaidi.........! na ili upate ajira kirahisi ni rahisi kama uka-fake kuwa ni mkenya
 
Haya sasa, mmeshaanza kuruka na kukanyagana!!!!
Mimi nilijua NYINGI ya hizi sekta "binafsi" mambo ya mishahara na marupurupu ni bagaining ya mwajiriwa na mwajir: na bahati mbaya watz ni wepesi wa kuomba discount dukani na wazito wa kubagain mshahara na mwajiri!!!

Ukweli ndio huo baba, wabongo hatujui ku bargain mishahara ila akija mgeni si lazima awe mkenya hata mwingine yeyote anajitahidi ku-bargain ili pate kipato cha kumuwezesha kuishi kulingana na uwajibikaji wake
 
Mai Mai, kuna issue mbili hapo.
1. Wageni kulipwa kuliko wenyeji-Hii ni kweli na ndivyo ilivyo duniani kote, hata hapa nyumbani, Watanzania wote wanaofanya kazi balozi mbalimbali, hulipwa chini kuliko wazungu hata kama mko ngazi moja, hii ni justified kutokana na huyu mgeni kuishi kwa gharama kubwa zaidi kuliko mwenyeji. Hata sisi Watanzania wenyewe, wale wanaofanya decent jobs nchi za watu kama experts, wanalipwa vizuri kuliko wenyeji.

Nenda kwenye balozi zetu, utakuta Watanzania wanaofanya kazi huko kama diplomat wanalipwa vizuri kuliko wenyeji, na kuza kazi ambazo tunatakiwa kuwaajiri wenyeji kwenye balozi zetu, lakini kutokana na dhiki zetu, tumewaajiri Watanzania kama locals, wao nao wanalipwa mishahara ya wenyeji ambayo ni midogo kuliko wenzao diplomats.

2. Watanzania tuna tatizo la bargaing power ya mishahara, kuna dada Mtanzania, alitafuta kazi mahali nas kuitwa kwenye interview, kumbe pia kuna mkenya aliitwa. Huyo dada ni freshh graduate wa UD na Mkenya ni diploma holder wa cho fulani cha uchochoroni tu kule Nairobi.

Kwa vile nilikuwa na inside information ya package ya hiyo kazi, nikamuuliza yule dada Mtanzania, what is your expectation ya salary, akajijibu, kwa vile ndio nimemaliza chuo na sijawahi kuajiriwa, I just need a job na niko tayari kufanya kwa any salary. Nikamuuliza tena, mshahara wa kiasi gani utakutosha mahitaji yako yote?, alijibu hata laki 5 (500,000), na kusema kwa vile yeye ni mtoto wa kike, hivyo anaishi na wazazi wake, hivyo zitamtosha kabisa. Nikampa inside information kuwa package ya hiyo kazi ni kati ya 1.2 mpaka 2.4. Hivyo nikamwambia wakukuuliza mshahara wewe waambie around 2.M alafu nga'ang'ania hapo usishuke. Hyo dada akashtuka na kusema si nitakosa kazi kwa kuonekana nina tamaa!, nikamhakikishia ndivyo wanavyolipa kwa posti anayoomba, akazidi kuogopa kupanda dau.

Siku ya interview ilipofika, nimekaa kwenye panel, yulele dada na digrii yake ya UD hakuonyesha confidence kabisa na nilichoka ilipofika kubargain mshahara, akasita sita na kusema hata 1.m itantosha!. Mkenya kaja na macofidence ya ajabu, kwenye mshahara akatakaUS $ 2,000!. Mwisho wa siku, wote wawili wakaajiriwa, yule dada akilipwa 1.4, akafurahi sana kwa vile ni more than her expectations, Mkenya analipwa 2.4!, na they are doing the same job!.

Sasa nilipomuuliza kwa nini alishuka, akasema aliogopa kutaka hela nyingi!, nikamwambia kwa taarifa yako, mwenzako analipwa 2.4!.

Hivi ndivyo Watanzania tulivyo when it comes to salary bargain!.
 
Mai Mai, kuna issue mbili hapo.
1. Wageni kulipwa kuliko wenyeji-Hii ni kweli na ndivyo ilivyo duniani kote, hata hapa nyumbani, Watanzania wote wanaofanya kazi balozi mbalimbali, hulipwa chini kuliko wazungu hata kama mko ngazi moja, hii ni justified kutokana na huyu mgeni kuishi kwa gharama kubwa zaidi kuliko mwenyeji. Hata sisi Watanzania wenyewe, wale wanaofanya decent jobs nchi za watu kama experts, wanalipwa vizuri kuliko wenyeji.

Nenda kwenye balozi zetu, utakuta Watanzania wanaofanya kazi huko kama diplomat wanalipwa vizuri kuliko wenyeji, na kuza kazi ambazo tunatakiwa kuwaajiri wenyeji kwenye balozi zetu, lakini kutokana na dhiki zetu, tumewaajiri Watanzania kama locals, wao nao wanalipwa mishahara ya wenyeji ambayo ni midogo kuliko wenzao diplomats.

2. Watanzania tuna tatizo la bargaing power ya mishahara, kuna dada Mtanzania, alitafuta kazi mahali nas kuitwa kwenye interview, kumbe pia kuna mkenya aliitwa. Huyo dada ni freshh graduate wa UD na Mkenya ni diploma holder wa cho fulani cha uchochoroni tu kule Nairobi.

Kwa vile nilikuwa na inside information ya package ya hiyo kazi, nikamuuliza yule dada Mtanzania, what is your expectation ya salary, akajijibu, kwa vile ndio nimemaliza chuo na sijawahi kuajiriwa, I just need a job na niko tayari kufanya kwa any salary. Nikamuuliza tena, mshahara wa kiasi gani utakutosha mahitaji yako yote?, alijibu hata laki 5 (500,000), na kusema kwa vile yeye ni mtoto wa kike, hivyo anaishi na wazazi wake, hivyo zitamtosha kabisa. Nikampa inside information kuwa package ya hiyo kazi ni kati ya 1.2 mpaka 2.4. Hivyo nikamwambia wakukuuliza mshahara wewe waambie around 2.M alafu nga'ang'ania hapo usishuke. Hyo dada akashtuka na kusema si nitakosa kazi kwa kuonekana nina tamaa!, nikamhakikishia ndivyo wanavyolipa kwa posti anayoomba, akazidi kuogopa kupanda dau.

Siku ya interview ilipofika, nimekaa kwenye panel, yulele dada na digrii yake ya UD hakuonyesha confidence kabisa na nilichoka ilipofika kubargain mshahara, akasita sita na kusema hata 1.m itantosha!. Mkenya kaja na macofidence ya ajabu, kwenye mshahara akatakaUS $ 2,000!. Mwisho wa siku, wote wawili wakaajiriwa, yule dada akilipwa 1.4, akafurahi sana kwa vile ni more than her expectations, Mkenya analipwa 2.4!, na they are doing the same job!.

Sasa nilipomuuliza kwa nini alishuka, akasema aliogopa kutaka hela nyingi!, nikamwambia kwa taarifa yako, mwenzako analipwa 2.4!.

Hivi ndivyo Watanzania tulivyo when it comes to salary bargain!.
Uwoga wako ndio umaskini wako
 
Nakubali kabisa tena sana wa tz wengi tuna hilo tatizo hilo tena kubwa sana hasa tukitoka mtaani tunafikiria ukijifanya kujua sana unatoswa kumbe tunajiumiza ila nina uhakika walio kazini aahh hawafanyi kosa hilo kamwe!!!
 
Back
Top Bottom