Mzee wa ngano
Senior Member
- May 3, 2012
- 184
- 54
Mimi ni mwalimu nilifaulu vizuri tu nimegraduate. Wewe siyo Mwalimu ndiyo maana ulifaulu. ungekuwa mwalimu ungefauru. mwalimu gani hata spelling za maneno ya kiswahili zinakushinda? mkilipwa mishahara midogo mnalalamika wakati hata kuuficha umburula wenu mnashindwa?