Kuna tetesi kwamba serikali mpaka sasa haijatoa mishahara ya wafanyakazi wake kwa mwezi ulioisha jana. Je hee inaweza ikawa ina-surpot uvumi kwamba nchi yetu ipo katika hali mbaya sana kifedha kutokana uchaguzi uliopita?
Kwa hilo sibishi, hata mimi ni mtumishi wa serikali mpaka sasa sijapata mshahara wa februari lakini nadhani yatakuwa matatizo ya wahasibu na si tatizo la kifedha nchi haiwezi ikakosa pesa za mshahara kwasababu ya uchaguzi, ndiyo huo tunaita uchochezi wewe siyo muathirika lakini unalalamika
Wahasibu!?, mtaweweseka sana na badoKwa hilo sibishi, hata mimi ni mtumishi wa serikali mpaka sasa sijapata mshahara wa februari lakini nadhani yatakuwa matatizo ya wahasibu na si tatizo la kifedha nchi haiwezi ikakosa pesa za mshahara kwasababu ya uchaguzi, ndiyo huo tunaita uchochezi wewe siyo muathirika lakini unalalamika
Kuna tetesi kwamba serikali mpaka sasa haijatoa mishahara ya wafanyakazi wake kwa mwezi ulioisha jana. Je hee inaweza ikawa ina-surpot uvumi kwamba nchi yetu ipo katika hali mbaya sana kifedha kutokana uchaguzi uliopita?
Kwa hilo sibishi, hata mimi ni mtumishi wa serikali mpaka sasa sijapata mshahara wa februari lakini nadhani yatakuwa matatizo ya wahasibu na si tatizo la kifedha nchi haiwezi ikakosa pesa za mshahara kwasababu ya uchaguzi, ndiyo huo tunaita uchochezi wewe siyo muathirika lakini unalalamika
Kwa hilo sibishi, hata mimi ni mtumishi wa serikali mpaka sasa sijapata mshahara wa februari lakini nadhani yatakuwa matatizo ya wahasibu na si tatizo la kifedha nchi haiwezi ikakosa pesa za mshahara kwasababu ya uchaguzi, ndiyo huo tunaita uchochezi wewe siyo muathirika lakini unalalamika
Ni kweli mpaka jana hakuna mtumishi wa serikali ambaye angejiganga amepata mshahara! Ile ahadi kuwa tarehe 25 ya kila mwezi kila mtumishi wa serikali awe amepata mshahara naona inaanza kuwa ndoto!
kaka umechanganya madesa..ilipaswa uishie kwenye kumuelimisha tu na siyo kumwambia kwamba yeye siyo muathirika..kwanza how sure you are kama yeye siyo muathirika,pili hata kama yeye siyo mfanyakazi wa serikali haimaanishi kuwa siyo muathirika,anaweza akawa indirectly affaected na hiyo hali kwa njia moja au nyingine.
Kwa hilo sibishi, hata mimi ni mtumishi wa serikali mpaka sasa sijapata mshahara wa februari lakini nadhani yatakuwa matatizo ya wahasibu na si tatizo la kifedha nchi haiwezi ikakosa pesa za mshahara kwasababu ya uchaguzi, ndiyo huo tunaita uchochezi wewe siyo muathirika lakini unalalamika
mkuu hilo tatizo la wahasibu nchi nzima?Acha kutufanya mazuzu bwana kama wamefulia si waseme tujue cha kufanya.Mi niko kusini huku mpaka leo hakijaeleweka,nimewasiliana na ndugu yangu yuko ulanga(moro),na kwao bado.WEEE Vipi!
ndo maana umeweka avatar ya kushikwa ****** duuuu! hata akili yako ipo hivyohivyo na hiii ndo ccm!Sibishani na mtu ambaye ndo kwanza yupo hatua ya kujifunza kiingereza, na watu wa hivi mpo wengi sana chadema
Sibishani na mtu ambaye ndo kwanza yupo hatua ya kujifunza kiingereza, na watu wa hivi mpo wengi sana chadema