Na sisi wengine vipi ?
mmh,cjui,yaani digrii ya miaka 3 ya ualimu ngazi yake ya mshahara iwe sawa na madaktari wanaosomea miaka 5,certificate ya ualimu ya mwaka 1 ngazi yake ya mshahara iwe sawa na digrii ya uchumi au uhasibu ya miaka 3,kama ndio hvyo,watakuwa wamependelewa mnoo