YNIM
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 2,216
- 49
Hoja yako ya madktari wakimbie mimi naona ni dhaifu!
Je waendelee kukimmbia nchi hadi lini na kwa faida ya nani?
Kwa nini isirekebishwe wakae Visiwani wawahudumie Watanzania mliotuacha tunateseka mkakambilia ugenini?
Uzalendo maana yake ni nini?
Uzalendo?? r u kidding me??. Pesa zinaliwa na waziri wizarani halafu wewe unaongelea uzalendo!!? tena ukikimbilia kukandamiza muungano, wakti suala hili si la muungano. Yes, soln ni kuingia mitini, labda then wataelewa na hao wananchi pia wataelewa kuacha kuchagua majiserikali mabovu.
Wallahi naomba itokee siku, mmoja wao apate emergency wakose hata mtu wa kum-stabilize kabla ya kumpeleka huko wanakopelekana kwa matibabu, pia labda then wataelewa.
Kwa taarifa yako ni umoja tu hakuna, ama sivyo majority ya MDs bongo hasa vijana wangekuwa wameshakula kona zamani!.