Mishahara imepandishwa kwa kiasi gani?

Kama tunategemea mishahara kupandishwa hiyo imekula kwetu ndugu zangu! Karibia nabwaga manyanga nikajiajiri mwenyewe maana mambo ya kusubiri Mkwerrr apandishe mshahara yamenichosha! Mtu unakaa kwenye Runinga ukisubiri jamaa atataja nyongeza ya mshahara lakini HOLA!!

Nimechokaaaa!!
 
Nil nil man..i have been tracking the speach frm its begining until its end, but nothing about salaries or wages,than only political idiologies.
I did not even bother to listen to him.After all there is no subtance in anything he talks and furthermore his government cannot do anything right.
 
Mi nachojua siku hizi huwa hataji kama kuna nyongeza ila huwa inaongezwa automatically tu, kuepuka waongeza bei bidhaa...maana wakisikia hivyo kila kitu hupandishwa. lets assume that.

Agree with you 100%, wafanyakazi wa serikali Tanzania hawazidi 10% ya watanzania wote, na kwa kuwa wafanyabiashara wa Tanzania ni opportunists, always wamekuwa waki hedge bidhaa zao kwenye prices kutokana na matangazo ya ongezeko la mishahara ambayo yamekuwa yakifanyika kisiasa zaidi ya kuangali signalling effect to suppliers. Matokeo yake wafanyabishara wana focus hela za wafanyakazi wachache while indirectly wanawaathiri wale wa kipato kischoeleweka. Mshahara ubakie kuwa ni siri ya mwajiri na mwajiriwa. Kama lengo ni kuwaridhisha wafanyakazi waipende CCM basi wataipenda pale watakapoona pay cheque zao zipo juu na hakuna haja ya matangazo ambayo huleta systemic effect kwenye soko
.
 
We! ikisemwa kuna nyongeza tu nyumba bei juu.Kisingizio nyie si mnalipwa mihela mingi! Maskini hawajui hata tarehe 15 haifiki umeshafulia!
 
Nilipoweka tbc nikaona JK anaongea niliona bora niangalie movie kuliko kumsikiliza huyu mzee wa kiduku!
 
Muulize aliyesema. Ndiyo nakusikia wewe na huyo aliyesema. Wewe vipi??
 
Wakuu kupanda kwa mishahara ni ndoto sana, acha kazi tafuta nyingine. Alishasema hamna wafanyakazi wagome vipi hamna hela ya kupandisha mishahara, ipo ya kulipa findia do-once tu

kwa taarifa yako kipindi cha kampeni alipandha mishahara kwa wafanya kazi wa serikali..jiulize ilipitishwa kwenye budget ipi
 
kwa taarifa yako kipindi cha kampeni alipandha mishahara kwa wafanya kazi wa serikali..jiulize ilipitishwa kwenye budget ipi
crashwise inaelekea kuwa huna kazi ya kufanya au wewe ndio kati ya wale ambao maandamono ndio ajira kwao
 
nilijua tu MAKUPA utaalisha halafu ukitukanwa unasema umeongea hoja
unataka watu wakupinge kwa hoja

crashwise inaelekea kuwa huna kazi ya kufanya au wewe ndio kati ya wale ambao maandamono ndio ajira kwao
 
Mi nachojua siku hizi huwa hataji kama kuna nyongeza ila huwa inaongezwa automatically tu, kuepuka waongeza bei bidhaa...maana wakisikia hivyo kila kitu hupandishwa. lets assume that.

unamjua mbayuwayu wewe?
 
Ameendelea na propaganda na sidhani kama kuna nehema sana uko july,

cha ajabu leo nimeshtuka tena kuona hotuba yake tofauti na za wawakilishi wengine ya JK haikuwa imeeandaliwa kufuata itifaki..wakati itifaki iliyokuwa ikitumika ilianza kwa kumtaja rais,jaji mkuu,....,iliyosomwa na Kikwete ilianza na Rais wa Tucta,waziri wa kazi,waziri wa utumishi,...kheee,kuona hivi JK akashtuka kidogo,akafoka ,mbona hotuba yangu haijazingatia itifaki kama za wengine?ikabidi aanze upya kwa kumtaja jaji mkuu,.....

Nikajiuliza hii ni kwa bahati mbaya ama ndo ishu zle zle za akina Rweyemamu?? kazi ipo!


Nayeye lazi,ma hawe ana EDIT kidogo basi hizo hotuba, Ina maana aliikuta pale uwanjani akasoma tu?
 
Ben,asante sana,nimefuatilia tangu mwanzo mwa hotuba ya rais jakaya,nimegundua mambo matatu muhimu:-
1. Jk bado ana hisia (husasi) za kampeni yaani, campeign mood.
2. Jk amehutubia kwa furaha sana,baada ya kuipata nafasi ya kuwa mgeni rasmi,kwani mwaka jana alinyimwa mwaliko huo,hivyo kujikuta anaishia kuwapongeza watu badala ya kueleza namna atakavyoondoa matatizo na kero za wafanyakazi kwa kuji-commit (hivyo akajikuta akiahidi hewani bila commitment ya lini atayamaliza).
3. Mgaya aliamua kumsifia kwa kuuma na kupuliza,ila jk akapokea kama sifa halisi,hivyo bado hakufanikiwa kuwajaza imani ya aliyoyaongea.
WAFANYAKAZI TUSITEGEMEE MABADILIKO YATAKAYOLETWA KWA HOTUBA ZA KUANDALIWA NA KULETEWA ASOME MAJUKWAANI, KWANI HATA ALIYEIANDAA HAKUWA NA UWEZO WA KUTAMBUA HATA PROTOCOL ZA UTAMBULISHO WA VIONGOZI NA MADARAJA YAKE, JE,ALICHOKIANDIKA KUHUSU WAFANYAKAZI KITAKUWA NA UKWELI GANI?
 
Hatuba ya Kiwete nimeisikiliza mwanzo mpaka mwisho. Hakuna alipotaja nyongeza ya Mishahara kwa Wafanyakazi. Ilikuwa ni porojo na ngonjera nyingi.Tunajua yeye alisha sema tangu mwaka jana kuwa yuko tayari kukosa KURA za wafanyakzi kwa kuwa MADAI YAO YA NYONGEZA YA MISHAHARA HAYATEKELEZEKI.Hata kama ni kwa awamu nne zitakazofuata baada ya yeye kung'atuka. Aongeze mishahara hela atatoa wapi???

Hata hivyo kitu kingine ambacho sijakikamata vizuri ni hotuba ya Katibu Mkuu Mgaya. Nilikuta spichi yake ikiwa mwishoni. Sijui kama alizungumzia KUHUSU UGUMU WA MAISHA UNAOWAKABUILI WAVUJA JASHO WA BONGO LAND!

Mimi nilitegemea Mgaya ashushe hotuba yenye machungu kama walivyofanya wenzetu wa nchi jirani ya Kenya ambapo kabla hata ya Mei mosi walikuwa wameshatangaza MUGOMO WA NCHI NZIMA KUPINGA ONGEZEKO LA GHARAMA ZA BIDHAA MUHIMI kama MAFUTA,UNGA,MKATE,MCHELE n.k.

Serikali yao ikawahi Bungeni kujadili swala hilo na nilkasikia Mhe. Mbunge mmoja akisema huo ugumu wa MAISHA UNAWAGUSA HATA WAO WABUNGE ISIPOKUWA WACHACHE SANA WENYE UTAJIRI WA KUPINDUKIA. Namesikia Wafanyakzi wa Kenya wao wameongezewa mishahara kwa 12.5%. Hongera zao.

Tanzania ni KISWAHILI MREEFU NA LONGOLONGO NYINGI.
 
Ben,asante sana,nimefuatilia tangu mwanzo mwa hotuba ya rais jakaya,nimegundua mambo matatu muhimu:-
1. Jk bado ana hisia (husasi) za kampeni yaani, campeign mood.
2. Jk amehutubia kwa furaha sana,baada ya kuipata nafasi ya kuwa mgeni rasmi,kwani mwaka jana alinyimwa mwaliko huo,hivyo kujikuta anaishia kuwapongeza watu badala ya kueleza namna atakavyoondoa matatizo na kero za wafanyakazi kwa kuji-commit (hivyo akajikuta akiahidi hewani bila commitment ya lini atayamaliza).
3. Mgaya aliamua kumsifia kwa kuuma na kupuliza,ila jk akapokea kama sifa halisi,hivyo bado hakufanikiwa kuwajaza imani ya aliyoyaongea.
WAFANYAKAZI TUSITEGEMEE MABADILIKO YATAKAYOLETWA KWA HOTUBA ZA KUANDALIWA NA KULETEWA ASOME MAJUKWAANI, KWANI HATA ALIYEIANDAA HAKUWA NA UWEZO WA KUTAMBUA HATA PROTOCOL ZA UTAMBULISHO WA VIONGOZI NA MADARAJA YAKE, JE,ALICHOKIANDIKA KUHUSU WAFANYAKAZI KITAKUWA NA UKWELI GANI?

You are Welcome Comrade!
Hilo suala la kuahidi nalo limeniacha hoi.Kuna ishu ya mazingira bora ya kufanya kazi,sioni akilipa uzito.Kuna vitu vingi anatakiwa afanye zaidi ya kuongeza mshahara,if he seriously want to build a welfare State.Asifikirie sana suala la kuongeza mishahara.

Of what use is Salary increase where we know it always leads to inflation.If you must increase salaries, why can you do so quietly.
What effect will the salary increase have on people's life when fuel scarcity, high transport cost, Generator power-backup, taxes, etc mops up this changes.

So,asije akakurupuka na kuongeza mishahara tu,atakuwa anawazidishia watanzania umaskini.Kutakuwa na ukosefu wa ajira kwa kuwa atazidisha mfumuko wa bei,wawekezaji watasita hata kuwekeza mitaji yao kwani hata malighafi itakuwa gharama.
He has to be carefully otherwise he'll cause a precarious situation in country's economy where prices and wages keep forcing other to increse
 
JE, MEI MOSI WA MWAKA HUU WATUMISHI WETU WAMESHITIRISHWA UZURI KIASI GANI KIMAPATO KIASI CHA KUTOKULAZIMIKA KUOTA MAGAMBA MAPYA KULEA WATOTO AU NDIO TUSEME NI SIKU TU YA SHEREHE BASI????????

Nakumbuka kwa uchungu yale majibu ya kejeli kwa TUCTA (ile timu mahiri ya Mhe Mgaya) toka kwa mwajiriwa namba moja nchini (Rais Kikwete) kwamba wasahau kabisa mshahara hautokaa uongezwe hata kwa kipindi cha miaka ...

Sasa kweli kuna uwazi gani hadi sasa juu ya ngawira iliyoongezwa hasa kwa wafanya kazi wa serikali tangu hii Mei Mosi ipite ili tuwe na matumaini mema kwamba tunapoendelea kujivua gamba la UFISADI kwingineko watumishi wengine ambao mpaka leo hii ni watu wasafi tu wala hawapati ushawishi nao kuota magamba??????????

Au tuseme Mei Mosi ni siku tu ya kusheherekea kwa siku moja, kumtuza k-mtumishi mmoja to vijisenti basi utamaduni wa mwaka huo ndio hivyo unakua umekmilika mpaka mwingine ufike???? Watumishi wako salama kiasi gani kimapato ili sisi wengine tuwe na uhakika wa kupata huduma bora kutoka kwao???
 
Ucheleweshaji wa mishahara ya wafanyakazi na pia uboreshaji wa maslahii yao kuchukuliwa kama vile wanafanyiwa ka-hisani fulani hivi, haya yooote ni mbolea na virutubisho vya kuota magamba mengine mengi sana tu serikalini ili kwa wale watumishi wa ngazi za chini nao kujihangaikia tu mkono uende kinywani.

Wana-JF, hii ni issue nzito humu yenye tija kubwa kwa taifa letu ambalo hatujalijadili vya kutasha badala yake watu tunasubiri tu hadi kuje kutokee athari zake kama vile mtu kakwapua kodi zetu mahala ndio mjadala mrefu kuanza.

Je, ucheleweshaji huu wa mshahara na uboreshaji kipato cha mfanya kazi kuonekana tu kama hisani tu hili limekaeje???????????
 
Back
Top Bottom