The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
TV wanalipwa vizuri zaidi kuna wakenya wako pale upande wa graphics ila sioni cha ajabu wanachofanya kwenye hizo graphics
Wakuu heshima mbele,
Ningependa kujua mishahara ya wafanyakazi wa Clouds Radio na Tv tafadhari, hususani watangazaji.
TV wanalipwa vizuri zaidi kuna wakenya wako pale upande wa graphics ila sioni cha ajabu wanachofanya kwenye hizo graphics
swala sio take home bei gani point ya msingi hapa ni utangazaj umetransform vipi maisha yao...
Usirudi na thread ya aina hii tena kijana.
Kwani wewe mshahara wako ni kiasi gani...
jaman haina haja ya ugonv! Cdhan kama n umbea kutaka kujua mshahara wawatangazaj in general na nadhan n vzur koz huwez may b anataka kujoin au mnataka watu ambao mpaka anafka ofcn kusign ajira hajui mshahara wake! Angetaka kujua mshahara wa kibonde au mchomv personally hapo 2ngemwta mmbea.
Mkuu uhuru wa kuongea unaweza kuweka chakula mezani?..
gerald wa power brackfast anapata 700000 im sure,lakini wale wawili waliokimbia radio one juzijuzi sijui
Kwenye RED ni breakfast, kuhusu mishahara hakuna unalolijuwa, nasubili ruhusa ya Invisible niupload mishahara ya wafanyakazi wote wa hiyo redio. stay tune. kama Gerald ni bwana wako amekupiga fix, utaliwa bupa kwa kuishi kwa matumaini.
Sio chuki, ukijua wanalipwaje itakuwezesha kufanya analysis ya nini kinawapa kiburi, nini kinawafanya wawe watu wa kujipendekeza etc. Ila mimi ningependa kujua hata level zao za elimu, hasa kibonde na hando. hando kaniboa sana ijumaa, bahati mbaya nilikuwa nasikia maudhi yake ktk redio ya gari ya jamaa, ningeivunjilia mbali ingekuwa ya gari yangu ambayo nimeiprogram isikamate milele clouds fmmshahara si kipimo cha maendeleo ya mtu.....vijana wanatafuta ridhiki iliyo halali je tungependa wawe vibaka!sometimes chuki zisizidi waungwana.....
wee matola nahisi ni mtu mwenye pupa