misemo ya vijana wa kileo bwana.,

nziriye

JF-Expert Member
Jan 23, 2011
1,051
361
Jamani wapendwa nimekaa kijiweni na rafiki zangu na nimesikia misemo iliyonifurahisha hebu ione mwenyewe: -kusoma kuelewa kukesha mbwembwe. -si mbuyu peke yake hata msufi ulianza kama tembele. -kunya anye kuku ,akinya bata kaharisha.
-jino moko,mswaki wanini?
-nyoka hana kiuno ndo mana havai shanga.



yani jamani wana-thinka tuongeze na mingine.........
 
Jamani wapendwa nimekaa kijiweni na rafiki zangu na nimesikia misemo iliyonifurahisha hebu ione mwenyewe: -kusoma kuelewa kukesha mbwembwe. -si mbuyu peke yake hata msufi ulianza kama tembele. -kunya anye kuku ,akinya bata kaharisha.
-jino moko,mswaki wanini?
-nyoka hana kiuno ndo mana havai shanga.



yani jamani wana-thinka tuongeze na mingine.........

mwanamke sura,shepu hata kwa mchina ipo
 
eti wengne wanasema hv eti sikia :

-kuku kuku jogoo jina
 
Back
Top Bottom