nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,051
- 361
Jamani wapendwa nimekaa kijiweni na rafiki zangu na nimesikia misemo iliyonifurahisha hebu ione mwenyewe: -kusoma kuelewa kukesha mbwembwe. -si mbuyu peke yake hata msufi ulianza kama tembele. -kunya anye kuku ,akinya bata kaharisha.
-jino moko,mswaki wanini?
-nyoka hana kiuno ndo mana havai shanga.
yani jamani wana-thinka tuongeze na mingine.........
-jino moko,mswaki wanini?
-nyoka hana kiuno ndo mana havai shanga.
yani jamani wana-thinka tuongeze na mingine.........