Misemo ya Kizamani

Havinitishitishi!
Ngushi
Gangwe
Kafa ulaya= siku hizi mitumba
Willy gamba- ndiyo jack bauer wa zamani
Makumazan aliyevuka maji ya shingo bila p.u.m.b.u. kuloa!
 
Jamaa nishai kwelikweli!
Baharia wa nchi kavu.
Poozeo.
Kupima oili!
Bichkoma.

Kila nikizikumbuka enzi zile natamani kulia maisha yalikuwa mazuri bwana! Baba mfanya kazi wa kawaida tu serikalini na mko watoto kumi nyumbani mnavaa vizuri, mnakula vizuri kila siku na yeye anapata nafasi ya kwenda kwenye "KIKAO" kila siku jioni. Kwa mshara wake tu na mama alikuwa mama wa nyumbani.

Ah! Nyerere baaba mleziiii! Nyerere mwaana mapinduziii....
 
mmh Hii nijuavyo mie Manzi ni Demu.. na huwezi kumuita mama yako Manzi! Pengine ni miaka Gani hiyo?

Dingi ilijulikna na haukuwezekana kumuita baba Dingi!

Dingi alikuwa anaitwa baba na watoto wake aidha wakiwa peke yao au na mama bila baba kuwepo!!
 
Telemka tuzoze - viatu vya raizoni.
Ubeche - wali
Sariapoo - michezo ya utoto kupinga ukiona vitu viwili vimefanana unamwahi mwenzio kwa kusema sariapoo - kisha wamdunda mgongoni .
 
Shemeji nitafunie Jojo- Chupi (ulikuwa ukivaa utashangaa unaikuta inapanda yenyewe kwenda tumboni).
 
Basi haya...tutakuja kuyafix baadae
Mambo Tukinaa
Nimewaka ile mbaya, Nimechalala
Stiki/Ganja = Bangi
Tinabuu
Mche =
Sigara
Kifaru/Kimwaga = Mtu wa matumizi/matanuzi
 
Back
Top Bottom