Facilitator
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,280
- 1,763
huyu jamaa ananifurahisha sana kwa misemo mi namkumbuka kwa hii CHIZI AKAMATWI KWA UZURURAJI, n KIKOMBE CHA KAHAWA HAKIWEKWI KISOSI.......... Kama unakumbuka misemo mingine akimaliza tupia tufurahi pamoja
Heshima ya shati mfuko.
maji ya dafu hayapikii chai..