huyu jamaa ananifurahisha sana kwa misemo mi namkumbuka kwa hii CHIZI AKAMATWI KWA UZURURAJI, n KIKOMBE CHA KAHAWA HAKIWEKWI KISOSI.......... Kama unakumbuka misemo mingine akimaliza tupia tufurahi pamoja
huyu jamaa ananifurahisha sana kwa misemo mi namkumbuka kwa hii CHIZI AKAMATWI KWA UZURURAJI, n KIKOMBE CHA KAHAWA HAKIWEKWI KISOSI.......... Kama unakumbuka misemo mingine akimaliza tupia tufurahi pamoja
Yanga ni kama pombe ya kwenye sherehe, kila mtu akijisikia anajinywea tu
Simba kwake porini!Yanga ni kama pombe ya kwenye sherehe, kila mtu akijisikia anajinywea tu
Yanga ni kama pombe ya kwenye sherehe, kila mtu akijisikia anajinywea tu
Huwezi kuongea na bubu gizani.