GARBAGE-mwanamke
Kamanyola lilikuwa ni jina la kikosi cha jeshi huko Zaire (wakati huo). Lakini kwa hapa kwetu TZ ilikuwa ni mtindo wa dansi wa bendi moja hivi (jina limenitoka). Wengine waliwaita wana-kamanyola. Huo ndio uelewa wangu. Kama kuna maana nyingine, wanaJF watasema.nimekumbuka hili neno/jina kamanyola hivi lina maana gani
Ndula ni kiatu moja kwa moja... sio viatu vya ndula
?????#@$%^GARBAGE-mwanamke
mtaka nyingi nasaba hupata mingi misiba.huu msemo naupenda sanaWanajamii tujikumbushe baadhi ya misemo ambayo zamani ilikuwa kwenye chati na sasa haitumiki tena..
Kwa mfano nakumbuka misemo kama kuachwa kwenye mataa, Viatu vya Ndula, lakuchumpa n.k, Pia nakumbuka majina kama Chekibobu.
Karibuni.
ada ya mja ni kunena muungwana vitendowanajamii tujikumbushe baadhi ya misemo ambayo zamani ilikuwa kwenye chati na sasa haitumiki tena..
Kwa mfano nakumbuka misemo kama kuachwa kwenye mataa, viatu vya ndula, lakuchumpa n.k, pia nakumbuka majina kama chekibobu.
Karibuni.
Kamanyola lilikuwa ni jina la kikosi cha jeshi huko Zaire (wakati huo). Lakini kwa hapa kwetu TZ ilikuwa ni mtindo wa dansi wa bendi moja hivi (jina limenitoka). Wengine waliwaita wana-kamanyola. Huo ndio uelewa wangu. Kama kuna maana nyingine, wanaJF watasema.
Wanajamii tujikumbushe baadhi ya misemo ambayo zamani ilikuwa kwenye chati na sasa haitumiki tena..
Kwa mfano nakumbuka misemo kama kuachwa kwenye mataa, Viatu vya Ndula, lakuchumpa n.k, Pia nakumbuka majina kama Chekibobu.
Karibuni.
Wanajamii tujikumbushe baadhi ya misemo ambayo zamani ilikuwa kwenye chati na sasa haitumiki tena..
Kwa mfano nakumbuka misemo kama kuachwa kwenye mataa, Viatu vya Ndula, lakuchumpa n.k, Pia nakumbuka majina kama Chekibobu.
Karibuni.